Mtoto aliyekojolea msaafu kortini...

Mimi siiamini hii habari mpaka hapo atakaposimamishwa kizimbani kweli!
 
Mbona waislam wa nchi nyingine hawaandamani kupinga tukio hili na kulaani SERIKALI ya Tanzania kama walivyofanya kwenye movie wa mtume na ambapo walilaani serikali ya Marekani kama vile ilihusika, na kuitaka ifunge balozi zake???????
 
nchi ya kiislam tayari..ndio mkome kuchagua waislamu wawaongoze kwani hawatumii akili wanatumia masaburi kufikiria
 

i like this! Huu ndio u-great thinker! Sisi sote ni ndugu,hizi dini tumeletewa zisitutenganishe!
 
nchi ya kiislam tayari..ndio mkome kuchagua waislamu wawaongoze kwani hawatumii akili wanatumia masaburi kufikiria

Iko sheria ambayo inataka kuheshimu vitabu vya dini zote, na ndio itatumika hapa.Huyu alidharau kitabu cha dini nyingine ndio maana ikaleta hiyo tafrani.
 
nchi ya kiislam tayari..ndio mkome kuchagua waislamu wawaongoze kwani hawatumii akili wanatumia masaburi kufikiria

mkuu,kwa maelezo yako ni bora yule mtoto aliyekojolea kitabu kitakatifu sababu labda ni utoto..tujaribu kuungana lakini si kudharauliana kiasi hiki...
 
Wakristo huwa wanajitahidi sana kuwa wavumilivu lakini waislamu ni wepesi kulipiza kisasi sidhani kama Mungu huwa anakuwepo katika kulipiza kisasi. Serikali huwa wapole zaidi waislamu wanapokiuka sheria na ndiyo maana vitendo hivi vinaendelea kutokea mara kwa mara katika nchi yetu. Watawala wetu wajitazame vizuri.
 
Tz raha jamani...wakubwa hawaguswi...aliemshawishi kimya....
Aliyemshawishi nani, zaidi ya mtoto mwenzie aliyebishana naye, kuhusu kukojolea juzuu na kugeuka nyoka au chizi? naye kwa akili na utoto na kutaka kujaribu mambo, akaamua kum-prove mwenzie wrong. Kimsingi ameshinda ubishi, maana hajageuka nyoka wala mjusi.
 
Hizi dini zinatupeleka pabaya,sababu tumekuwa wazinzi,wezi,vibaka,wafitini,wasengenyaji,wanafki lakini sisi ndio viongozi wa kwaya,madrasa,wachungaji,mashehe,mapadri maaskofu nk,ila kwa sababu maovu yote hayo yamefichwa ndani ya mioyo yetu,inapotokea mtu katenda dhambi hadharani tunakuwa wa kwanza kumhukumu!!
Hakuna vita ngumu kama ya kidini,bora ya kikabila,lakini si ya kidini,watu tumekuwa machizi kutetea ukristo na uislam badala ya kusafisha mioyo yetu,,wakati mwingine natamani maajabu yatokee dini zote zipotee tubaki na UTU wetu!dini gani watu tunakashifiana kila kukicha?mimi naamini UKRISTO NA UISLAMU vyote vilijengwa kwenye misingi mizuri,ila WAkristo na WAislamu ndo tumeiharibu misingi ya dini zetu!
 
Issue kama hizi zinahitaji busara sana kudeal nazo. Sasa hawa watawala wetu hamna kitu kabisa aisee!

Yaani aliyekojolea msaafu anapandishwa kizimbani; wanaochoma magari, makanisa na mali wanadunda mitaani?

muujiza!
 
mimi ni muislamu....kufikishwa mahakamani mtoto huyu si sahihi!

Hapa mnashindwa kuelewa tu. NI SAHIHI KABISA MTOTO YULE KUFIKISHWA MAHAKAMANI.

Najua hoja yako hapo itakuwa kuwa 'huyo ni mtoto mdogo'. Hata mimi nakubali huyo ni mtoto mdogo na ana kinga ya utimilifu wa akili dhidi ya mashtaka yanayomkabili, lkn yapaswa ufahamu kuwa ni mahakama ndio inapaswa kutamka hilo.

Atapandishwa kizimbani, atasomewa mashtaka na ataachiwa huru kwa kuwa hamna sheria ya kumtia hatiani kwa kuwa umri wake ni mdogo. Hiyo ni taratibu ya kawaida kabisa. Ndio maana hata chizi hupandishwa kizimbani ili mahakama iridhishwe tu kuwa hana akili timamu na imuondolee UTUHUMIWA.
 
Hizi dini zinatupeleka pabaya,sababu
tumekuwa wazinzi,wezi,vibaka,wafitini,wasengenyaji,wanafki lakini sisi ndio viongozi wa kwaya,madrasa,wachungaji,mashehe,mapadri maaskofu nk,ila kwa sababu maovu yote hayo yamefichwa ndani ya mioyo yetu,inapotokea mtu katenda dhambi hadharani tunakuwa wa kwanza kumhukumu!!
Hakuna vita mbaya kama ya kidini,bora ya kikabila,lakini si ya kidini,watu tumekuwa machizi kutetea ukristo na uislam badala ya kusafisha mioyo yetu,,wakati mwingine natamani maajabu yatokee dini zote zipotee tubaki na UTU wetu!dini gani watu tunakashifiana kila kukicha?mimi naamini UKRISTO NA UISLAMU vyote vilijengwa kwenye misingi mizuri,ila WAkristo na WAislamu ndo tumeiharibu misingi ya dini zetu!
JITU halijawahi kanyaga sehemu ya kuabudia,halijui hata kusali/kuswali,kila siku uzinzi,wizi,fitna,lakini likisikia mtoto kakojolea kitabu kitakatifu au watu wamechoma kanisa linakuwa la kwanza kukomenti "makafiri hamna kitu",mara "dini yao ya magaidi",
what for????tuache upumbavu,tuungane.. Hayo ndo majaribu,mkichomewa makanisa vumilieni msitukane,huo ndio ukristo.
 
Iko sheria ambayo inataka kuheshimu vitabu vya dini zote, na ndio itatumika hapa.Huyu alidharau kitabu cha dini nyingine ndio maana ikaleta hiyo tafrani.

Tafrani haikuletwa na MTOTO aliyekojolea quran, tafrani imeletwa na uwepo wa watu wasio na elimu. Chuki na roho ya ushetani ndio ilileta tafrani. Kama kungekuwa na elimu miongoni mwao, yasingefika huko.

Najua utataka kubishana na mimi lkn mimi kabla hujanibishia nitakuuliza maswali mawili:
1. Kama wale waliovunja makanisa na kuchoma moto madhabahu wangekuwa na akili angalau kidogo, walijiuliza kama lile tendo lilikuwa utashi binafsi wa mtoto au alitumwa na kanisa?

2. Hata kama angekuwa ametumwa, alitumwa na nani basi ANGLICAN, LUTHERAN, SABATO au MOROVIAN?

Kwa maswali haya utakubaliani nami kuwa kuna watu wapumbavu ndani ya jamii yetu ambao kwao elimu ni dhambi. BOKO-HARAM
 
Habari ya kukojolewa kitabu yafanana kidogo na ile ya Pakistani..ni vizuri na kijana wa Kislam aulizwe isije ikawa ni mipango michafu ya blood mongers juu ya nchi hii...police nao wanalinda barabara ya kilwa badala ya kulinda mali za raia..
 
Huu ni mtihani kwa Kikwete. Ni lazima atoe tamko la wazi kwa umma kulaani kitendo kilichofanywa na waislamu na kutofanya hivyo itaonyesha wazi nchi inatawaliwa kiislamu. Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam juzi alitoa maelezo mazuri ni vizuri pia Kikwete akajifunza kutoka kwake.
 

huyo dogo kama ni mwana funzi na mwenzie waliokuwa wakibishana ni wanafunzi wana rights kufanya tafiti.Sidhani kama kuna mipaka ya tafiti.

Huyo mwenzie kampa challenge naye kaitest na ku-prove point yake kuwa kukojolea hakuna madhara km "miraculous punishment " ila madhara yake yametokea kwa waislam.
Police watweka makosa ya kijinga mengi tuu,ila ukweli kwamba challenge alizopewa km msomi alikuwa na haki ya kuthibitisha kwa vitendo bila kumdhuru mwingine.
 
kumshitak ni kumuonea kwsbb pyschologically tayari ameshaathirika hasa kwa kilichotokea ikiwa ni pamoja na kutaka kuuawa, ni heri wangemuacha tu au km anashtakiwa basi ashtakiwe na mwenye kitabu kwsbb mi naona wote wana makosa,huyo mwenye kitabu km alijua kukojolea ni dhambi kwnn alikitoa kikojolewe?
 

kwakweli yule shehe alinibadilisha perception yangu juu ya uislamu..mim sio muislam lakini nilitamani aendelee kuongea sababu to some extent nlikuwa na wrong perception juu ya uislam lakini yule shehe kanifungua kumbe sisi wanadinh ndo wabaya na si dini kama wengi wajuavyo!nliwahi sikiliza radio imaan aisee,nliishia kuuelewa vibaya uislam..bt kumbe sivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…