Mauaji ya mwandishi Mwangosi rais hajatoa kauli hadi leo!! Lakini kisa cha mtoto mdogo kukojoa tayari keshasema hilo ni kosa kubwa! Na waliojichukulia sheria mkononi kuchoma makanisa je hao haoni kosa lao!!
mimi ni muislamu....kufikishwa mahakamani mtoto huyu si sahihi!
Mkuu wangu Pure Number nakuhakikishia hata uinyee na kuichambia BIBILIA hakuna Mkristo ataandamana wala kutoa tamko maana kazi hiyo si ya mwanadamu bali Mungu mwenyewe, usihukumu maana utahukumiwa
Wewe nenda dukani kanunue BIBILIA na uichane mbele ya muuzaji ununue nyingi chana tena ataendelea kukuuzi tu maana hakuna mwenye mamlaka ya kukuhukumu zaidi ya mwenye BIBILIA sana sana atakuonea huruma na kukukumbuka wenye sala yake Mungu akusaidie
BIBILIA ni kitabu kama kitabu cha darasani au cha mapenzi au kitabu chochote kile,ni material imetengenezwa na binadamu kinacho matter ni neno la Mungu linaitwa BIBILIA na si Kitabu kilichoandikwa BIBILIA, na ndio ndio maana NENO LA BIBILIA hata ukichoma vitabu litabaki milele
Unajua ni makanisa mangapi yamechomwa moto Zanzibar? umewahi kusikia vurugu zozote toka kwa wakristo?
mmejaza video youtube mnaukashfu ukristo kwa title za waimba injili, umewahi kusikia wakristo wanacomplain na luleta fujo?
Mnakaa na vispika vyenu kutwa Yesu sio Mungu mitaani, umewahi kusikia wakristo wanafanya fujo wanakashfiwa Mungu wao?
Kashfa zote dhidi ya ukristo za mikanda ya video toka kenya na akina Ponda pamoja na radio imani na heri, umewahi kusikia mkristo kaandamana?
Kwa taarifa yako mlichofanya Mbagala kitaripotiwa Polisi tu kutimiza takwa la kisheria na the rest watu watapiga goti na kumlilia Mungu wao awasamehe na kuwapa hekima maana hamjui mtendalo
Gazeti la majira
limeripoti ya kuwa mtoto aliyekojolea msaafu atafikishwa mahakamani ili
sheria za nchi zifutwe.
Maoni yangu ni kweli kitendo cha mtoto huyo kilikuwa cha kitoto na cha
kijinga. Ila lilofanywa na kundi la waislamu kuandamana dhidi ya kitendo
hicho cha mtoto, na kuharibu malia za watu pamoja na makanisa ni zaidi
ya utoto, ujinga na na pia uwendawazimu.
Hivyo wakati yule mtoto akipandishwa kortini polisi wanapaswa
kuwapandisha mahakamani watu waliohusika na wendawazimu huo pia.
Polisi pia inapaswa kuonesha wale waliochoma makanisa Zanzibari wapo
wapi?
Vinginevyo ujinga na wendawazimu huu utatupeleka pabaya.
We uliona wapi Mungu akakupiga kipigo pale pale....Afu Mungu anapima pia kama ataona kweli yule dogo akili zake za kitoto hawezi kumpa adhabu, lakini wewe unaye jidai hapa nenda kafanye vile afu utakuja nipa jibu sio lazima pale pale hata baada ya miaka flani kama hujatokewa na balaa mpaa ukaona dunia haikaliki....Kawaulize wale wa Danish walipatikana na nini :biggrin:Aliyemshawishi nani, zaidi ya mtoto mwenzie aliyebishana naye, kuhusu kukojolea juzuu na kugeuka nyoka au chizi? naye kwa akili na utoto na kutaka kujaribu mambo, akaamua kum-prove mwenzie wrong. Kimsingi ameshinda ubishi, maana hajageuka nyoka wala mjusi.
mtoto huyu alitaka kumaliza ubishi kwamba huwezi kupata kichaa kwa kukojolea msahafu.
alitaka kuprove the null hypothesis...sioni kosa lake kwa sababu majibu tumeyapata.
kwanini tusiache Qur'an imuadhibu naturally huyu mtoto?
"Sharia" ya kukojoa kwenye msahafu ya Saudi Arabia ya mwaka 1712. Akipatikana na hatia, adhabu yake ni kukatwa kichwa
mimi ni muislamu....kufikishwa mahakamani mtoto huyu si sahihi!
wakiristu ndio waanzilishi wa matatizo haya. mtake msitake. Tabia ya kumshambulia mkuu wa nchi kwa masuala ya udini
ndio yatawafikisha pabaya. huu wote ni uchokozi, alikojolea kwa nini! makanisa zanzibar kuchomwa ni kwanini, mnaacha watoto wenu wa kike wanatembea uchi mnataka na waislam wawaige? nyerere aliwaambiaje? na nawahakikishia kwamba kama mtaendekeza uchokozi wenu, hapakaliki hapa. Na madai kwamba waislam hawajasoma m-baki na mawazo hayo ndio mtajua. Na kama hamjui wale wabishi sheria zote mnazosoma huko school of law, na LLB NA MA LLM zote ndizo alizozikojolea huyo mtoto, mnayajua hayo, etu waislam wana inferior, subirini muone hiyo in