anashtakiwa kwa sheria ipi?
Na section 125 of the Penal Code: "Any person who destroys, damages or defiles any place of insult to worship or any object which is held sacred by any class of persons with the intention of thereby insulting the religion of any class of any class persons or with the knowledge that any class of persons is likely to consider such destruction, damage or defilement as an insult to their religion, is guilty of an offence".
mimi ni muislamu....kufikishwa mahakamani mtoto huyu si sahihi!
kwa maana hiyo mansakankanmusa hivi ndivyo koran inawaelekeza kufanya? I mean huu ndio msingi wa Uislam,,,,VISASI
Just asking to know
Issue kama hizi zinahitaji busara sana kudeal nazo. Sasa hawa watawala wetu hamna kitu kabisa aisee!
Yaani aliyekojolea msaafu anapandishwa kizimbani; wanaochoma magari, makanisa na mali wanadunda mitaani?
Si kazi kabisa kuwafahamu kama tungekuwa na serikali makini; wangeanzia na aliyeutoa msahaf ukojolewe. Akibanwa kisawa sawa atasema ni nani alimshawishi afanye vile. Pamoja na mimi kuwa muislamu nachukia sana tabia ya watu wanaojifanya kuutetea uislamu kumbe ni wadhalilishaji wakubwa wa imani. Kuna mambo baadhi ya watu wanajifanya kutenda kwa niaba ya uislamu kana kwamba wana mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu kiasi cha kumdhalilisha na kuidhalilisha imani yetu. Nalaani kwa nguvu zangu zote uhuni uliofanywa Dar Es Salaam na kule Zanzibar kwa jina la Uislamu. Haya ni matokeo ya kuongozwa na chama na serikali dhaifu na iliyopoteza mwelekeo. Kamwe haiwezi kuchukua maamuzi magumu!Mzee kama unawafahamu waliomshawishi wataje waunganishwe kwa katika kesi.
wakiristu ndio waanzilishi wa matatizo haya. mtake msitake. Tabia ya kumshambulia mkuu wa nchi kwa masuala ya udini
ndio yatawafikisha pabaya. huu wote ni uchokozi, alikojolea kwa nini! makanisa zanzibar kuchomwa ni kwanini, mnaacha watoto wenu wa kike wanatembea uchi mnataka na waislam wawaige? nyerere aliwaambiaje? na nawahakikishia kwamba kama mtaendekeza uchokozi wenu, hapakaliki hapa. Na madai kwamba waislam hawajasoma m-baki na mawazo hayo ndio mtajua. Na kama hamjui wale wabishi sheria zote mnazosoma huko school of law, na LLB NA MA LLM zote ndizo alizozikojolea huyo mtoto, mnayajua hayo, etu waislam wana inferior, subirini muone hiyo in
Pamoja na kwamba kitendo alichokifanya huyo mtoto ni kosa lakini kumfikisha mahakamani sahihi kabisa. Kwanza watu wazima wameandamana wakitaka kumuua, halafu siku 2 baadaye anapelekwa mahakamani!
Jamani, huyo mtoto ana miaka 14 tu. Hivi hakuna mtu mzima wa kumuelewesha badala kumpa mlolongo wa manyanyaso?
mie mbona nimeiharishia kabisa na hakuna kilichonipata! hebu acheni propaganda, ni kama kumwambia mwanao, ukimuoa mkristu nakupa laana, hiyo laana haimpati ng'o! MAANA MUNGU ANA HEKIMA IPITIYO HEKIMA ZOTE, HUHUKUMU KWA HAKI! huyo mtoto hatapatwa na lolote, PERIOD!We uliona wapi Mungu akakupiga kipigo pale pale....Afu Mungu anapima pia kama ataona kweli yule dogo akili zake za kitoto hawezi kumpa adhabu, lakini wewe unaye jidai hapa nenda kafanye vile afu utakuja nipa jibu sio lazima pale pale hata baada ya miaka flani kama hujatokewa na balaa mpaa ukaona dunia haikaliki....Kawaulize wale wa Danish walipatikana na nini :biggrin:
mbegu mbaya alizopanda muheshimiwa sana kipindi cha kampeni za 2010...matokeo yake ndo haya....
every important positions katika serikali tumeshikilia but still tuna lalamika tu....
wakati wenzetu wanajenga vyuo, hospitali na mashule...sie tunaendelea kutundika spika kubishana kama yesu ni Mungu au sie Mungu...
Gazeti la majira limeripoti ya kuwa mtoto aliyekojolea msaafu atafikishwa mahakamani ili sheria za nchi zifutwe.
Maoni yangu ni kweli kitendo cha mtoto huyo kilikuwa cha kitoto na cha kijinga. Ila lilofanywa na kundi la waislamu kuandamana dhidi ya kitendo hicho cha mtoto, na kuharibu malia za watu pamoja na makanisa ni zaidi ya utoto, ujinga na na pia uwendawazimu.
Hivyo wakati yule mtoto akipandishwa kortini polisi wanapaswa kuwapandisha mahakamani watu waliohusika na wendawazimu huo pia.
Polisi pia inapaswa kuonesha wale waliochoma makanisa Zanzibari wapo wapi?
Vinginevyo ujinga na wendawazimu huu utatupeleka pabaya.
mimi ni muislamu....kufikishwa mahakamani mtoto huyu si sahihi!
Ulitakaje mkuu achinjwe hadharani kama dini yenu inavyoelekeza?remember mkuu we are operating under secular Government!!mimi ni muislamu....kufikishwa mahakamani mtoto huyu si sahihi!
Si ngojea kwani wale ma General wa Ki Isreal na WA Turky siwalijifanya kama wewe uliona walicho kipata, we hata kama unafanya joke iko moto inakuja we tulia tu, kwani uliona wapi Mungu akakupiga lana pale pale :biggrin:mie mbona nimeiharishia kabisa na hakuna kilichonipata! hebu acheni propaganda, ni kama kumwambia mwanao, ukimuoa mkristu nakupa laana, hiyo laana haimpati ng'o! MAANA MUNGU ANA HEKIMA IPITIYO HEKIMA ZOTE, HUHUKUMU KWA HAKI! huyo mtoto hatapatwa na lolote, PERIOD!