Mtoto aliyekojolea msaafu kortini...

Tz raha jamani...wakubwa hawaguswi...aliemshawishi kimya....
Unaposema aliyemshawishi unamaanisha nani?
Maana aliyemshawishi ni mtoto mwenzie aliyemtuishia kuathirika kama atakojolea hicho kitabu.
Bila ya hao waliochoma makanisa kufikishwa mahakamani hakitaeleweka kabisa
 
Unaposema aliyemshawishi unamaanisha nani? Maana aliyemshawishi ni mtoto mwenzie aliyemtuishia kuathirika kama atakojolea hicho kitabu.Bila ya hao waliochoma makanisa kufikishwa mahakamani hakitaeleweka kabisa
...mtoto mwenzie.
 
wewe sio muislamu, wala usijiite muislamu. Kama ulikua muislamu umeshakua KAFIR kwa kauli yako kuo unaona aibu kuitwa muislamu. Kama ulikua muislamu unajua nini cha kufanya.

i can see the light and the right at the end of the conduit, mumekuwa mukiwafundisha watoto kwa vitisho na udanganyifu, sasa watoto hawa wataanza kuwahoji juu ya uongo wenu, mumeanza kuumbuka, hiyo nguvu munayowahaa kuwa "SATANIC VERSES" inayo kumbe haipo. Shame upon you.
 
hivi huo mkojo ulikuwa kiasi gani yaani hiyo Kuruwani ililowana kabisa au ni tone tu lilidondokea? Alifungua kurasa au lile cover lake la juu?
 

nakuunga hoja kwa moyo wote mkuu !!!
 
Hivi jamani katika utoto wetu nani hakuwahi kubishana na mwenzie ikafika muda mnawekeana vijiti ili kila mtu akanyage na atakaeanza au wa mwisho...ugomvi unaanza..... Ni michezo ya kitoto...na huyo ni mtoto...sasa ole wenu serikali impeleke mahakamani kama mtu mzima...muone itakavyokuwa...hata na wakristo sasa itabidi tuanze kuamka....THIS IS NOT FAIR at all
 

ila mkuu kuna mambo mengine siyakufanyia utoto haswa kwenye swala la dini. kama basi wewe unawafundisha watoto wako kufanyia utani kwenye dini basi unakosea sana mkuu. kila mtu ana imani yake nalazima tuheshimiane. Tuanze kuwafundisha na kuwaonya watoto wetu ya kwamba KUHESHIMU WAKUBWA HAITOSHI BALI PIA NI LAZIMA KUWEKA ADABU KWENYE DINI ZA WATU!!
 

ninamshaka na wewe na uhalisia wako!, you might be an alien, ain't you?, hivi unayajua wanayoyafanya watoto wako (if at all you have one)wawapo nje ya nyumbani kwako?!, hivi unayajua uliyokuwa unayafanya ulipouwa mtoto?!, kwahiyo mnawatuma watoto wa kiislam walianzishe ligi na watoto wa kikristo ili wakishindwa mulete uhuni wenu(jihad) kwa kivuli cha dini yenu kutoheshimiwa?!, ADVISE; KWA TABIA HIYO HAMIENI ISLAMIC STATES LASIVYO= UKIMGEUZAGEUZA NYOKA HATIMAYE UTAONA MIGUU YAKE.
 
kwanini tusiache Qur'an imuadhibu naturally huyu mtoto?
sidhani kama itawweza kumwadhibu naturally, kama ilishindwa kumpa kichaa dogo, itaweza lini sasa? hamna kitu mle ndio maana kuran yenyewe inatetewa na wanadamu kwasababu peke yake haina nguvu. ingekuwa na nguvu wasingechoma makanisa kuitetea, haina nguvu wanoana inahitaji msaada ndo maana wanaandamana kuona imeshindwa kufanya kitu.

kwa upande mwingine, dogo atashitakiwa mahakama ya watoto, na hatakiwi kufungwa wala kunyimwa dhamana iwe ya polisi au mahakamani. na wanatakiwa kumpeleka mahakamani wakiwa na uhakika kuwa upelelezi umekamilika kulingana na sheria ya watoto namba 21 ya 2009. pia hatakiwi kufungwa kifungoni, marufuku kufungwa, atapewa conditional discharge au akiwa mtukutu atapelekwa kwenye shule ya mafunzo ya watoto. dogo atadunda tu hapo. mahakama ya watoto ni ileile mahakama ya hakimu mkazi ikijibadilisha jina kuwa juvenile court kutumia jengo lilelile, hatuna majengo tofauti. ni kwamba wakati ule kesi ya mtoto inasikilizwa, mlango unafungwa na inatakiwa isifanyike open court, na inatakiwa iwe in camera/mlango ufungwe na wasiwepo watu wengi kama zilivyo zingine, labda wazazi tu, hakimu na mwendesha mashitaka. hivyo wananchi wasije wakawahi asubuhii siku ya kesi wakitegemea dogo akifika pale wataenda mahakamani kusikiliza kesi inaendeaje.

pia kwa upande wangu, naona ni hatari sana kwa dogo kupelekwa mahakamani, kwasababu nina uhakika wachoma makanisa watakuwa wanamsubiria nje. nadhani ni muhimu usalama wake ukawekwa mbele.

pia yule dogo aliyemshawishi mwenzie akojolee ati akifanya hivyo tu atakuwa chizi nayeye afikishwe mahakamani kwa kushawishi kufanya kitendo cha jinai, kama jinai hiyo ipo kweli kwenye sheria zetu.yeye asiachwe, asije akaenda kushawishi wengine tukachomewa makanisa yetu yaliyobaki. wote wawili wawekwe pamoja, hapo ndo haki itakuwa imetendeka.
 

JIHAD BONGO!! sikiliza mkuu , mnaweza mkawa mnabishana kwa ajiri ya kufundishana lakini mnapokuwa mnabishana na kuanza kuchomeana vitabu vya dini hapo LAZIMA UGOMVI UTOKEE!! now, kwenye lile tukio aliyeanzisha ugomvi ni kitendo cha kukojorea QURAN!! kama una adabu kwenye uislamu utaona ya kwamba huyo mtoto kafanya tendo lakiovu kabisa !! usiwaite waislamu magaidi lakini wao kama waislamu wanakuwa na uchungu sana kuona kitabu chao takatifu kikidharirishwa!!! ACHA ITIKADI ZAKO ZAKIDINI , TANZANIA ATUJAFIKA HUKO!!
 
kitendo cha watoto hao kuchezea kitabu kitakatifu kimetokana na kutotolewa elimu sahihi na badala yake kutishwa na kudanganywa. Hilo liwe fundisho, tuwaambie watoto wetu ukweli kwamba waviheshimu vitabu hivyo vitakatifu lakini wasipewe maneno yatayoleta udadisi zaidi na hivyo kuvikosea adabu.
 
Huyo mwalimu aliyemfundisha huyo mtoto kwamba quran ikikojolewa aliyeikojolea anapata uchizi Yeye ana elimu gani?
 

I give you a big respect !!
 

hili sio jambo geni. Mnaposhindwa hoja hua mnakimbilia matusi. But you know the truth.
 
.......si alielezwa kwamba atageuka mjusi ? amekuwa au hajawa? Ngoma ya kitoto haichezwi na wakubwa
 
...mtoto mwenzie.

Wanamtetea wanasema eti alikuwa habishani. Wanataka kuhalalisha upumbavu waliofanya. Hi yote inasababishwa na kukosa elimu na shughuli za kufanya. Unadhani wangekuwa makazini wangepata huo muda wa kufanya upumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…