chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Bagara aliyepotea katika mlima wa Kwaraa baada ya kwenda kufanya utalii wa ndani pamoja na masomo Kwa vitendo, Mwanafunzi huyo amepatikana akiwa amedhoofika huku akiwa na majeraha ya kukwaruzwa na miti na miba.
Mtoto Joel amepatikana baada ya siku 26 licha ya juhudi mbalimbali zilizofanywa ambapo ziligonga mwamba na kumkabidhi Mungu kwani wazazi wa Joel walishakubaliana na mtoto wao kutokumuona tena au pengine kuupata mwili pekee lakini siku ya tarehe 9 October 2024 Kijana Joel anapatikana akiwa hai baada ya kuokotwa na msamaria mwema.
Endelea kufuatilia Clouds ili kufahamu nini kilimsibu Mtoto Joel Kufuatia kupotea mlimani kwa siku 26.
Soma Pia: Mwanafunzi Esther wa Panda Hill aliyepotea kwa siku 35 amepatikana, yadaiwa alitoroshwa na mchoma mkaa
Mtoto Joel amepatikana baada ya siku 26 licha ya juhudi mbalimbali zilizofanywa ambapo ziligonga mwamba na kumkabidhi Mungu kwani wazazi wa Joel walishakubaliana na mtoto wao kutokumuona tena au pengine kuupata mwili pekee lakini siku ya tarehe 9 October 2024 Kijana Joel anapatikana akiwa hai baada ya kuokotwa na msamaria mwema.
Endelea kufuatilia Clouds ili kufahamu nini kilimsibu Mtoto Joel Kufuatia kupotea mlimani kwa siku 26.
Soma Pia: Mwanafunzi Esther wa Panda Hill aliyepotea kwa siku 35 amepatikana, yadaiwa alitoroshwa na mchoma mkaa