Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Bagara aliyepotea katika mlima wa Kwaraa baada ya kwenda kufanya utalii wa ndani pamoja na masomo Kwa vitendo, Mwanafunzi huyo amepatikana akiwa amedhoofika huku akiwa na majeraha ya kukwaruzwa na miti na miba.
Mtoto Joel amepatikana baada ya siku 26 licha ya juhudi mbalimbali zilizofanywa ambapo ziligonga mwamba na kumkabidhi Mungu kwani wazazi wa Joel walishakubaliana na mtoto wao kutokumuona tena au pengine kuupata mwili pekee lakini siku ya tarehe 9 October 2024 Kijana Joel anapatikana akiwa hai baada ya kuokotwa na msamaria mwema.
Endelea kufuatilia Clouds ili kufahamu nini kilimsibu Mtoto Joel Kufuatia kupotea mlimani kwa siku 26.
Soka na wenzake wako wapi!?,.., mnaanza kusifia polisi wakati habari ya clouds inasema msamaria mwema!?,hivi huwa mnalipwa kwa kila thread mnayoanzisha ya kusifia!?..,
Soka na wenzake wako wapi!?,.., mnaanza kusifia polisi wakati habari ya clouds inasema msamaria mwema!?,hivi huwa mnalipwa kwa kila thread mnayoanzisha ya kusifia!?..,
YAANI WEWE MPAKA UMUONE SOKA NDIYO UTAJUWA POLISI WANAFANYA KAZI HUYU MTOTO ALIYEPATIKANA SIYO BINADAMU? NDIYO MAANA NMNAAMBWA AKILIZENI HAZIFANYI KAZI
YAANI WEWE MPAKA UMUONE SOKA NDIYO UTAJUWA POLISI WANAFANYA KAZI HUYU MTOTO ALIYEPATIKANA SIYO BINADAMU? NDIYO MAANA NMNAAMBWA AKILIZENI HAZIFANYI KAZI
Nakuuliza tena kwenye taarifa umeona kuna sehemu Polisi wametajwa kusaidia kupatikana kwa mtoto!?, taarifa aliyoleta ya habariclouds inasema watu wote wakiwemo wazazi na polisi walishakubali mtoto hapatikani tena, msamaria mwema kamuokota mtoto,kwanini mnakimbilia kuwasifia polisi!?
YAANI WEWE MPAKA UMUONE SOKA NDIYO UTAJUWA POLISI WANAFANYA KAZI HUYU MTOTO ALIYEPATIKANA SIYO BINADAMU? NDIYO MAANA NMNAAMBWA AKILIZENI HAZIFANYI KAZI
Jeshi liko kazini, limefanya lazi kubwa kumsaka mtanzania huyu ambaye alipotea, salsa amepatikana. Jeshi hili halilali
======
Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Bagara aliyepotea katika mlima wa Kwaraa baada ya kwenda kufanya utalii wa ndani pamoja na masomo Kwa vitendo, Mwanafunzi huyo amepatikana akiwa amedhoofika huku akiwa na majeraha ya kukwaruzwa na miti na miba.
Mtoto Joel amepatikana baada ya siku 26 licha ya juhudi mbalimbali zilizofanywa ambapo ziligonga mwamba na kumkabidhi Mungu kwani wazazi wa Joel walishakubaliana na mtoto wao kutokumuona tena au pengine kuupata mwili pekee lakini siku ya tarehe 9 October 2024 Kijana Joel anapatikana akiwa hai baada ya kuokotwa na msamaria mwema.
Endelea kufuatilia Clouds ili kufahamu nini kilimsibu Mtoto Joel Kufuatia kupotea mlimani kwa siku 26.