Nani sasa ambaye ni mjinga hapa kati ya baba na mtoto?Jana nimeenda kwa jamaa yangu kumtembelea baada ya kutoanana nae kwa muda kidogo.
Wakati nipo hapo nyumbani kwake tukawa tunatazama Tv mechi ya Simba na Biashara.
Katikati ya mechi mwenyeji wangu akatoka nje kuongea na simu, pale ndani tukabaki mimi mtoto wa miaka kama mitano hivi, basi muda huo huo akachukua remote na kuweka channel cartoon, na dogo hasemezeki, baba mtu alivyorudi nae akawa anaangalia Cartoon tuu.
Basi mpaka naaga sikua na matokeo kamili ya mechi.
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo aliyezingua ni Baba, sio mtoto.Jana nimeenda kwa jamaa yangu kumtembelea baada ya kutoanana nae kwa muda kidogo.
Wakati nipo hapo nyumbani kwake tukawa tunatazama Tv mechi ya Simba na Biashara.
Katikati ya mechi mwenyeji wangu akatoka nje kuongea na simu, pale ndani tukabaki mimi mtoto wa miaka kama mitano hivi, basi muda huo huo akachukua remote na kuweka channel cartoon, na dogo hasemezeki, baba mtu alivyorudi nae akawa anaangalia Cartoon tuu.
Basi mpaka naaga sikua na matokeo kamili ya mechi.
Mjinga baba then mwanae kwa mbaliNani sasa ambaye ni mjinga hapa kati ya baba na mtoto?
Ujinga wa mtoto inabidi aubebe baba piaMjinga baba then mwanae kwa mbali
Baba!Nani sasa ambaye ni mjinga hapa kati ya baba na mtoto?
Nje ya madaHahaaa huyo baba ina maana hana kauli kwa mtoto wake? Hata ile ya pls Junior na bla bla kibao alikosa!!
Anyway simba tulishinda 4-0, huku Chelsea tukilala 2-0..
Hayo mambo ndo maana nilinunua TV 2 maana unakuta mm nataka mpira utasikia mke anataka aangalie marudio ya slay Queen, Mara badilisha king'amuzi cha dstv weka azam nataka kuangalia single mama hapana mpira una raha yake ila huyo mtoto ningemfurusha potelea pote! HahahahaJana nimeenda kwa jamaa yangu kumtembelea baada ya kutoanana nae kwa muda kidogo.
Wakati nipo hapo nyumbani kwake tukawa tunatazama Tv mechi ya Simba na Biashara.
Katikati ya mechi mwenyeji wangu akatoka nje kuongea na simu, pale ndani tukabaki mimi mtoto wa miaka kama mitano hivi, basi muda huo huo akachukua remote na kuweka channel cartoon, na dogo hasemezeki, baba mtu alivyorudi nae akawa anaangalia Cartoon tuu.
Basi mpaka naaga sikua na matokeo kamili ya mechi.