ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,118
- 1,430
Jana nimeenda kwa jamaa yangu kumtembelea baada ya kutoanana nae kwa muda kidogo.
Wakati nipo hapo nyumbani kwake tukawa tunatazama Tv mechi ya Simba na Biashara.
Katikati ya mechi mwenyeji wangu akatoka nje kuongea na simu, pale ndani tukabaki mimi mtoto wa miaka kama mitano hivi, basi muda huo huo akachukua remote na kuweka channel cartoon, na dogo hasemezeki, baba mtu alivyorudi nae akawa anaangalia Cartoon tuu.
Basi mpaka naaga sikua na matokeo kamili ya mechi.
Wakati nipo hapo nyumbani kwake tukawa tunatazama Tv mechi ya Simba na Biashara.
Katikati ya mechi mwenyeji wangu akatoka nje kuongea na simu, pale ndani tukabaki mimi mtoto wa miaka kama mitano hivi, basi muda huo huo akachukua remote na kuweka channel cartoon, na dogo hasemezeki, baba mtu alivyorudi nae akawa anaangalia Cartoon tuu.
Basi mpaka naaga sikua na matokeo kamili ya mechi.