Mtoto amegoma kuondolewa u monitor

Mtoto anapendwa sana Yule hata akipiga kelele darasani na teacher yupo teacher anamwaga viboko kwa watoto wanaomsema dogo.
 
Halafu dogo huwa anadeal nao sana wale madenti nyau, viherere mpaka wanakuwa hospitalized
 
kwa hizi post zako dada angu inaonekana unamchukia sana na mtoto monitor na baba ake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


ila utapata tabu sana mtoto na baba ake hawaondoki mpaka 2025
 
ukisoma reply za watu humu, ndipo utajua hii mada huelewe wewe mwenyewe
 
Alafu wewe dada huwaga unachuki sana unaumia moyo bure huku wenzako wakiendelea kudunda

WABAYA HAWANA AMAN. asema bwana
 
Mtoto anapendwa sana Yule hata akipiga kelele darasani na teacher yupo teacher anamwaga viboko kwa watoto wanaomsema dogo.
Tutaelewa wachache kwenye huu uziπŸ˜…πŸ˜….sijui mboga za majani zitakauka lini aiseeh πŸ‘πŸΏ
 
wacha we... kwahiyo sasa tutaanza kukopeshwa...
 
Hivi huyu dogo mbona anajiamini hivi
 
Eeeenh insta babe na we team dogo kama le kokobanga
hahahah mimi nashabikia simba na real madrid insta babe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hapo nimemwambia ukwel mchungu tu dada angu kuwa kama anawachukia dodo na mdingi bora aache kuwafatilia maana ndio ilivyo wapo hapo shuleni mpaka 2025 πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…