Mtoto amegoma kuondolewa u monitor

Mtoto amegoma kuondolewa u monitor

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Habari ndiyo hiyo. Baba ameomba msamaha kwa wakubwa wa serikali lakini mtoto amegoms kuuacha u monitor

1542447977980.jpeg
 
Halafu dogo huwa anadeal nao sana wale madenti nyau, viherere mpaka wanakuwa hospitalized
 
kwa hizi post zako dada angu inaonekana unamchukia sana na mtoto monitor na baba ake 😂😂😂😂


ila utapata tabu sana mtoto na baba ake hawaondoki mpaka 2025
 
Alafu wewe dada huwaga unachuki sana unaumia moyo bure huku wenzako wakiendelea kudunda

WABAYA HAWANA AMAN. asema bwana
 
Mtoto anapendwa sana Yule hata akipiga kelele darasani na teacher yupo teacher anamwaga viboko kwa watoto wanaomsema dogo.
Tutaelewa wachache kwenye huu uzi😅😅.sijui mboga za majani zitakauka lini aiseeh 👍🏿
 
wacha we... kwahiyo sasa tutaanza kukopeshwa...
 
Eeeenh insta babe na we team dogo kama le kokobanga
hahahah mimi nashabikia simba na real madrid insta babe 😂😂😂😂

hapo nimemwambia ukwel mchungu tu dada angu kuwa kama anawachukia dodo na mdingi bora aache kuwafatilia maana ndio ilivyo wapo hapo shuleni mpaka 2025 😂
 
Back
Top Bottom