SUZANE
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 740
- 500
Heri ya mwaka mpya wapendwa.
Natoa shukrani zangu kwenu nyote mlionishauri na kunifariji wakati nikiwa nahitaji mtoto, hamkuniacha mpweke mpaka mimba ilipotunga na niliwajulisha, sasa Mungu amenipa mtoto mume, na mzuri kwa kweli. Glory to God.
Leo naombeni mnisaidie kuhusu huyu wifi yangu jamani, ndio kwanza mtoto bado mdogo anamimba nyingine ya mwezi mmoja sasa.
Alizaa kwa oparetion,
Mumewe anamwambia azae, wengine atoe, ndio kanifuata nimshauri, binafsi nimemwambia anipe muda.
Mie si mzoefu kabisa wa mambo haya ndio maana ckutaka kukurupuka kumwambia chochote.
Hivi kweli inawezekana oparetion yake kuhimili mimba nyingine??
Kutoa mimba wakati kuna watu wanasaka watoto ka mie itakuaje, kwanza kwa imani yangu ni dhambi kubwa.
Kama kawaida kama hujickii kujibu pita wima, itakua heshima kwako.
Nawasilisha kwenu.
Natoa shukrani zangu kwenu nyote mlionishauri na kunifariji wakati nikiwa nahitaji mtoto, hamkuniacha mpweke mpaka mimba ilipotunga na niliwajulisha, sasa Mungu amenipa mtoto mume, na mzuri kwa kweli. Glory to God.
Leo naombeni mnisaidie kuhusu huyu wifi yangu jamani, ndio kwanza mtoto bado mdogo anamimba nyingine ya mwezi mmoja sasa.
Alizaa kwa oparetion,
Mumewe anamwambia azae, wengine atoe, ndio kanifuata nimshauri, binafsi nimemwambia anipe muda.
Mie si mzoefu kabisa wa mambo haya ndio maana ckutaka kukurupuka kumwambia chochote.
Hivi kweli inawezekana oparetion yake kuhimili mimba nyingine??
Kutoa mimba wakati kuna watu wanasaka watoto ka mie itakuaje, kwanza kwa imani yangu ni dhambi kubwa.
Kama kawaida kama hujickii kujibu pita wima, itakua heshima kwako.
Nawasilisha kwenu.