Mtoto ana mwaka 1 na miezi 4, mama yake ana ujauzito wa mwezi 1

Mtoto ana mwaka 1 na miezi 4, mama yake ana ujauzito wa mwezi 1

Mtoto wa 16 month haina shida hata unaweza muachisha ikiwa mama hayupo comfortable kumnyonyesha na dogo akapata tu mlo mwengine. Tafuta ushauri wa docta kuhusu mama.
 
Wote mama na mtoto wapate lishe bora na muda wa kupumzika. Tenga muda wa kucheza na mtoto kuanzia sasa na hata mdogo wake akizaliwa.

Kuna cases nyingi za emotional neglect zina affect watoto katika makuzi na wazazi wanazifanya bila wao wenyewe kufahamu.
nimeipenda iyo ya emotional neglect yani watoto wakiafrica wanaambuliaga kichapo cha maana na ni vidogo tofauti na wenzetu
 
nimeipenda iyo ya emotional neglect yani watoto wakiafrica wanaambuliaga kichapo cha maana na ni vidogo tofauti na wenzetu
Pamoja na hayo kwa mtoto amaze akiwa mdogo wake mapema habari muda wa ku-bound na wazazi
 
Tupo kwenye ndoa miaka chungu nzima.

Hapa swala ni kujali afya na ustawi wa mwenzio tu. Kitu unacho halali yako kuzingatia uzazi wa mpango kwa siku 3 au 4 kwa mwezi unashindwaje?

Mkishindwa condom ktk danger days tu
Sema tu wanandoa wengi hujiendekezq na wanawake ni waoga kuwaeleza wenzao wanavyojisikia kuhusiana na swala hilo kwa kuhofia "kuchepuka"

Kitunze kikutunze Mkuu...
Danger days?! Kupata mimba katika ndoa ni danger? Kwa kweli siyo. Unaonaje badala ya danger ukiweka uzazi? Sema siku za uzazi.Uhai si danger Kaka. Lakini ni ushauri tu.
 
Danger days?! Kupata mimba katika ndoa ni danger? Kwa kweli siyo. Unaonaje badala ya danger ukiweka uzazi? Sema siku za uzazi.Uhai si danger Kaka. Lakini ni ushauri tu.
Uite danger au uzazi hizo mbwembwe tu

Haiondoi uwezkano wa mapacha wa nje

Cha msingi ni wanandoa kuwa makini au kufuata njia ya itakayowafaa wote
 
Huku nilipo watu wanabeba mimba hata mtoto akiwa na mwezi mmoja, within one year mwanamke anazaa mara 2.
Wangu alibeba mimba mtoto wa kwanza akiwa 4 months.
Planned au ulipitiwa?
 
LA MSINGI MAMA APATE LISHE BORA ILI AWEZE KUMUDU MALEZI MIMBA NA MTOTO, ILA MTOTO AKIFKSHA 2 YRZ, AMWACHISHE

KUHUSU UPASUAJI SIJUI
 
Tupo kwenye ndoa miaka chungu nzima.

Hapa swala ni kujali afya na ustawi wa mwenzio tu. Kitu unacho halali yako kuzingatia uzazi wa mpango kwa siku 3 au 4 kwa mwezi unashindwaje?

Mkishindwa condom ktk danger days tu
Sema tu wanandoa wengi hujiendekezq na wanawake ni waoga kuwaeleza wenzao wanavyojisikia kuhusiana na swala hilo kwa kuhofia "kuchepuka"

Kitunze kikutunze Mkuu...
Ni kweli mkuu lakini nawe ipo siku utateleza tu unless mkeo atumie dawa za uzazi wa mpango. Kalenda Method imetuingiza chaka wengi na sasa tumezidisha umakini mkuu.
 
Back
Top Bottom