Mtoto anaenyonya anaweza kuathirika endapo wazazi wakifanya mapenzi?

Mtoto anaenyonya anaweza kuathirika endapo wazazi wakifanya mapenzi?

Its just a myth, Ni Kama haielezeki hivi, kwa mwanaume haina shida, kwa mwanamke inashida ( kwa mujibi wa jibu lako).

Hakuna shida kwa yeyote!
Uhusiano wa mfumo wa uzazi na mfumo wa chakula vijaingiliana wapi?
 
Wasalaam wakuu,

Naomba kujuzwa kama kuna athari zozote za kiafya mtoto anaweza kupata endapo wazazi wake wakafanya mapenzi wakati yeye bado ananyonya. Huku Umakondeni kwetu wanadai kuwa ukifanya mapenzi bila kinga yeyote wakati mtoto ananyonya kunaweza kuathiri ukuaji wake hasa uzito, kuongeza hatua mfano anaweza kuchelewa kutembea au kusimama na nk.

NB: Wife anatumia njia ya uzazi wa mpango
Jibu ni rahisi tu,hakuna madhara yoyote,kwasababu manii ni yale yale.
Note:Kama mkeo ana mtoto mchanga afu mnaingiliana kama kawaida,mtoto ananyonya kama kawaida but hana development yeyote,basi fahamu kuwa,uwenda mkeo anachepuka au mtoto hakuwa wako.
 
Back
Top Bottom