Naombeni ushauri kwa anae fahamu dawa ya kumfanya mtoto apate hamu ya kula. Mimi nina mtoto anaelekea miezi 9 sasa lakini kadri umri unavyoongezeka ndivyo anavyozidi kupunguza hamu ya kula chakula anataka kunyonya tu, ukimpa chakula lazima mkabane na kama ni uji anajikoholesha anautapika wote.
Naomba msaada wa ushauri kwa hilo.
Naomba msaada wa ushauri kwa hilo.