ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Mke na mume waliobarikiwa kuwa na mtoto mmoja mdogo walipendana sana na daima walitaka kudhihirisha upendo wao kwa watu ikiwa ni pamoja na kushikana mikono, kuitana majina matamu kama "honey, Darl, Dear, Switiiii" nk nk.
Siku zote mmoja wao akiwa anatoka huwa ana muaga mwenzie na mtoto kwa staili ya busu na kukumbatiana. Mtoto alizoea hali ya mapenzi ya wazazi.
Siku moja wapenda nao hao waligombana sana usiku na kurushiana kauli zisizofaa kuhusu mapenzi yao. Mke akakasirika sana, na akiwa anataka kwenda kazini asubuhi, hakutaka hata kumuaga kabisa mumewe ambaye alikaa sebuleni na mtoto kwa staili aliyozoea. akambusu tu mtoto na kufungua mlango kutaka kuondoka ....
Lakini ghafla mtoto akamuuliza: "mamiii...." mama alipogeuka na kuitika, "yes mai dia": mtoto akauliza: ...."Maiii why today you don't want to kiss mai Dadiii...., are u okei??" mtoto akamkimbilia mama na kushika mkono kumrudisha ndani ili ambusu japo kidogo tu "dadiii wake".
Mama akajisikia aibu sana nafsini mwake, akarejea na kumbusu "Dadiii"!japo kwa shingo upande...Dadiii nae pia ikamwingia hiyo!.
Tafadhali usijaribu kuonyesha mabadiliko au yake mapenzi yetu ya kuigiza mbele ya mtoto/watoto.
Siku zote mmoja wao akiwa anatoka huwa ana muaga mwenzie na mtoto kwa staili ya busu na kukumbatiana. Mtoto alizoea hali ya mapenzi ya wazazi.
Siku moja wapenda nao hao waligombana sana usiku na kurushiana kauli zisizofaa kuhusu mapenzi yao. Mke akakasirika sana, na akiwa anataka kwenda kazini asubuhi, hakutaka hata kumuaga kabisa mumewe ambaye alikaa sebuleni na mtoto kwa staili aliyozoea. akambusu tu mtoto na kufungua mlango kutaka kuondoka ....
Lakini ghafla mtoto akamuuliza: "mamiii...." mama alipogeuka na kuitika, "yes mai dia": mtoto akauliza: ...."Maiii why today you don't want to kiss mai Dadiii...., are u okei??" mtoto akamkimbilia mama na kushika mkono kumrudisha ndani ili ambusu japo kidogo tu "dadiii wake".
Mama akajisikia aibu sana nafsini mwake, akarejea na kumbusu "Dadiii"!japo kwa shingo upande...Dadiii nae pia ikamwingia hiyo!.
Tafadhali usijaribu kuonyesha mabadiliko au yake mapenzi yetu ya kuigiza mbele ya mtoto/watoto.