Mtoto aua mpenzi wa mama yake

Mtoto aua mpenzi wa mama yake

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Kijiji cha Deriat kaunti ya Kericho, Kenya amemuua mzee mwenye umri wa miaka 65 kwa kumchoma kisu kifuani baada ya kumkuta akishiriki tendo la ndoa na mama yake

Inadaiwa kuwa kijana huyo alilalamika kuwa mzee huyo si babake na hivyo hana mamlaka ya kulala nyumbani kwao licha ya babake kufariki

Kijana huyo alitoweka baada ya kutekeleza unyama huo
 
Kakuta zee la miaka 65 linacheza ndombolo ya solo kwa mama ake? 🤣🤣..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Kijiji cha Deriat kaunti ya Kericho, Kenya amemuua mzee mwenye umri wa miaka 65 kwa kumchoma kisu kifuani baada ya kumkuta akishiriki tendo la ndoa na mama yake

Inadaiwa kuwa kijana huyo alilalamika kuwa mzee huyo si babake na hivyo hana mamlaka ya kulala nyumbani kwao licha ya babake kufariki

Kijana huyo alitoweka baada ya kutekeleza unyama huo
Angemkuta baba yake anamgegeda mwanamke asiye mama yake... angempigia makofi kumpongeza
 
Huyo mzee alikuwa ni wa kiume au alikuwa hajitambui,ataendaje kula tunda kwa mke;alitakiwa mwanamke aende kwa mwanaume.Cha kujifunza hapa,wanaume tusipende kusex na wapenzi wetu kwenye nyumba zao au sehemu walizopanga, kitakachokukuta huko wewe ndio mwenye kosa.
 
wivu tuu.......ila wanaume kuna la kujifunza hapa........
 
Back
Top Bottom