Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Wapendwa naombeni mnisaidie katika hili, huyu mtoto ashanichosha ana miezi minne tu ila hataki kabisa kunyonya, alianza kama miezi miwili hivi ikabidi wa tatu nianze kumpa maziwa ya fomula ila sasa naona kawa too much siku nzima hajaonja hata tone yupo bize ananyonya kidole tu...hapa namuona ana njaa kabisa make kanahemea juu juu ila nkikapa nyonyo ndo kwanza kanalia...nmechoka kukabembeleza hadi nasikia hasira kangekua kakubwa ngekapa hata vibao viwili tu vya makalio!!!!
Msaada plzzz nifanyeje???
cc: Karucee, King'ast, gorgeousmimi, geniveros na kina mama wote...
Kina baba na nyie nmewamention moyoni
Msaada plzzz nifanyeje???
cc: Karucee, King'ast, gorgeousmimi, geniveros na kina mama wote...
Kina baba na nyie nmewamention moyoni