Mtoto hataki kunyonya

Mtoto hataki kunyonya

Wazazi wa kizazi cha sasa ni shida. Wasiliana na wamama wa zamani. Mtoto wa aina hiyo hua analazimishwa kunywa uji/maziwa
 
maziwa yalikua mengi ule mwezi wa kwanza na wa pili alivokua ananyonya sana alivopunguza naona hata nayo yamepungua...msosi nakula lakini wapi aah naona najenga kitambi tu maziwa hayaji!!!ahsante ngoja labda nile chakula tofauti nione ntakupa feedback
Production ya maziwa inaongezeka pale mtoto anaponyonya ikiwa hanyonyi hayatengenezwi mengi…na ndio maana unaona hayatoki mengi.Uwe unakamua ili kustimulate lactic glands!
 
mweh kazi nayo inachangia???mie ticha usinambia vumbi la chaki linamfanya asinyonye

Evelyn Salt angalia pia position unayomuweka mtoto, sometimes inaweza kuwa inampa discomfort hivyo kuassociate breastfeeeding with pain. unachotakiwa ni kuhakikisha unamposition vizuri na chuchu iingie yote mdomoni kwa mtoto.

pia je kuna muda ambao alihitaji kunyonya akakosa? watoto wana tabia ya kususa kunyonya haswa demands zao zinapokuwa hazitekelezwi.
 
Last edited by a moderator:
Sweetheart kama unasema scenario yangu. Mi nineshaanza kumpa uji tangu alipofika 2 months. #SueMe

ooh no!ntamani ningetoa darasa la exclusive breastfeeding kabla hamjaanza hizo formula milk. babies need breastmilk for at least six months. no water no formula. ngoja niandae darasa wama wa humu mpate elimu. its the baby's right. kuna faida nyingi sana mtoto anakosa kwa kutonyonya maziwa ya mama.
 
Usirudi tena kwenye jukwaa la wakubwa unamchosha anakataa haki yake ya msingi
 
Evelyn Salt angalia pia position unayomuweka mtoto, sometimes inaweza kuwa inampa discomfort hivyo kuassociate breastfeeeding with pain. unachotakiwa ni kuhakikisha unamposition vizuri na chuchu iingie yote mdomoni kwa mtoto.

pia je kuna muda ambao alihitaji kunyonya akakosa? watoto wana tabia ya kususa kunyonya haswa demands zao zinapokuwa hazitekelezwi.

nshajaribu namlaza nambeba lakini wapi juzi nmejaribu kusimama akanyonya.kidunchu jana leo kagoma kabisa yupo bize na.kunyonya kidole yan ndo.kaacha nyonyo hvo
 
Last edited by a moderator:
wakati mwingine hili kinatibika na tiba za kiasili huenda pia kuna michezo michafu ambayo mama aweza kawa kafanyiwa na kwa kuwa watoto ni km nalaika hawana zambi na wanaulizi wao hukingwa wasidhurike na ubaya ulio kwa mamake. nimewashuhudia wengine wengi wenye tatizo hilo likisababushwa na mama kuwa na mapepo.
 
nshajaribu namlaza nambeba lakini wapi juzi nmejaribu kusimama akanyonya.kidunchu jana leo kagoma kabisa yupo bize na.kunyonya kidole yan ndo.kaacha nyonyo hvo
kunyonya kidole kwa mtoto wa miezi michache ni dalili ya njaa.

Ulichokosea ni kumpa maziwa ya suppliment, aliona tofauti na nyonyo kwenye uvutaji wa maziwa.
 
Sweetheart kama unasema scenario yangu. Mi nineshaanza kumpa uji tangu alipofika 2 months. #SueMe
For sure ninaku-sue, of all people?! Kuna comment yako mahali ilinitia moyo to try harder, kumbe wewe ume-give up?
 
For sure ninaku-sue, of all people?! Kuna comment yako mahali ilinitia moyo to try harder, kumbe wewe ume-give up?

I was over motivated.

Then my baby started losing weight.

Na check ups are all fine

I lost it.
 
kunyonya kidole kwa mtoto wa miezi michache ni dalili ya njaa.

Ulichokosea ni kumpa maziwa ya suppliment, aliona tofauti na nyonyo kwenye uvutaji wa maziwa.

alikataa nyonyo kabla hata sijampa chochote akaloose weight ndo daktare akanambia nimpe hayo maziwa...
kuhusu kunyonya kidole sina uhakika kama ni njaa tu make kazoea hata nkimpa maziwa akashiba anakinyonya tu
 
wakati mwingine hili kinatibika na tiba za kiasili huenda pia kuna michezo michafu ambayo mama aweza kawa kafanyiwa na kwa kuwa watoto ni km nalaika hawana zambi na wanaulizi wao hukingwa wasidhurike na ubaya ulio kwa mamake. nimewashuhudia wengine wengi wenye tatizo hilo likisababushwa na mama kuwa na mapepo.

kuna mtu pia kanambia the same mmmh itabidi nimpeleke akaombewe
 
wapendwa naombeni mnisaidie katika hili, huyu mtoto ashanichosha ana miezi minne tu ila hataki kabisa kunyonya, alianza kama miezi miwili hivi ikabidi wa tatu nianze kumpa maziwa ya fomula ila sasa naona kawa too much siku nzima hajaonja hata tone yupo bize ananyonya kidole tu...hapa namuona ana njaa kabisa make kanahemea juu juu ila nkikapa nyonyo ndo kwanza kanalia...nmechoka kukabembeleza hadi nasikia hasira kangekua kakubwa ngekapa hata vibao viwili tu vya makalio!!!!

Msaada plzzz nifanyeje???
Cc: karucee, king'ast, gorgeousmimi, geniveros na kina mama wote...
Kina baba na nyie nmewamention moyoni

fafanua jinsia yake mpwa usihofu ndio ukubwa huu akuja na meli kitanda kilihuxunika fahari yake ukafaidi binadamu
 
Jitahdi usimbemende watoto wa sikuhizi wanashtuka mapema kweli mama zao wakibemendwa wanajifanya kunyonya kidole tena wangedikia ana miguu wangelamba na vya mguunii kabisa embu nicheki na dk wangu ntarudi
 
Kama maziwa hanywi nayo jaribu kumbadilishia aina ya maziwa..kumbuka sio mazezeta wote walizaliwa hivyo wengine walikosa virutubisho muhimu utototni mwao...usiogope mpwa najaribu kuondoa mazingira ya wewe kusikitika..hamia lactogen 2
 
Back
Top Bottom