mtoto kaanguka

mtoto kaanguka

nicnic

Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
23
Reaction score
1
msaada wadau mwanangu ana mwaka na miez miwili ,ameanguka kutoka kwenye kiti hadi chini akaangukia meno mawili ya juu mbele na yanatingishika japo ni kidogo sio sana na damu imetoka nying kiasi!nimempa paracetamol na amelala.je kuna shida yoyote na hayo meno kwa kuwa yanacheza kidogo?ushauri nifanyaje kwani niko mbali na je itamletea shida yoyote hapo baadae?
 
msaada wadau mwanangu ana
mwaka na miez miwili ,ameanguka kutoka kwenye kiti hadi chini akaangukia
meno mawili ya juu mbele na yanatingishika japo ni kidogo sio sana na
damu imetoka nying kiasi!nimempa paracetamol na amelala.je kuna shida
yoyote na hayo meno kwa kuwa yanacheza kidogo?ushauri nifanyaje kwani
niko mbali na je itamletea shida yoyote hapo baadae?
pole sana,kama damu zimeacha kuvuja na halii ,ni huduma ya kwanza nzur,ni vyema ukamuona daktar kwa maelezo zaidi,na kama kaangukia upande wa mbele au nyuma na urehu/kimo cha hicho kiti
 
msaada wadau mwanangu ana mwaka na miez miwili ,ameanguka kutoka kwenye kiti hadi chini akaangukia meno mawili ya juu mbele na yanatingishika japo ni kidogo sio sana na damu imetoka nying kiasi!nimempa paracetamol na amelala.je kuna shida yoyote na hayo meno kwa kuwa yanacheza kidogo?ushauri nifanyaje kwani niko mbali na je itamletea shida yoyote hapo baadae?

My God, kwa kesi hii unataka ushauri hapa? Umeshampa panadol ni pain killer na first Aid!!! Wahi kwa Dr wa meno na wa magonjwa ya watoto ndiyo wanaushauri proper!!! Do it soon!! Pole yawezekana ni mtoto wa kwanza una hofu but kwa watoto dr wao ni majibu japo pia hapa unaweza kupata msaada but si realistic maana hata mtoto hatumuoni hapa na pili we are not doctors!!! How can we know how serious the damage is?
 
Mi woga wangu ni kama amepata brain injury ukaja kutuomba ushauri tena kwamba mwanangu hasimami tena, hafanyi yale wengine wanafanya etc. Mpeleke kwa daktari
 
nicnic, pole kwa tatizo la mtoto..

Ningependa kuuliza
-Mtoto ameangukia wapi/nini hapo chini?
-Kama mtoto alipoteza fahamu(kama ndiyo, kwa muda gani)?
-Vipi kumeza damu, na ingawa subjective(meno yamelegea kiasi gani)? kukutikisa kwa kuguswa, kula kitu,

Ni vizuri kufika katika HOSPITALI kujua hasa tatizo liko wapi.
 
Last edited by a moderator:
nicnic, pole kwa tatizo la mtoto..

Ningependa kuuliza
-Mtoto ameangukia wapi/nini hapo chini?
-Kama mtoto alipoteza fahamu(kama ndiyo, kwa muda gani)?
-Vipi kumeza damu, na ingawa subjective(meno yamelegea kiasi gani)? kukutikisa kwa kuguswa, kula kitu,

Ni vizuri kufika katika HOSPITALI kujua hasa tatizo liko wapi.

ahsante,mwanangu kaanguka toka kwenye kiti cha urefu wa kama stool hv za kawaida,kaangukia sakafuni japo kuna carpet chin na hakupoteza fahamu kbsa,damu amemeza kdg sana kwani nilimsafisha kwa maji ya chumvi,meno mpaka uguse ulitingishe ndo utaona linacheza ni kdg kama vile jino la mtoto anaeanza kung'oa meno linavyocheza halijalegea kbsa.nitampeleka kcmc today nitatoa feedback ahsanten kwa respond zenu mbarikiwe kwan i was kuchanganyikiwa but i thank god she is doing good kwani kila kitu anafanya kama kawaida she is happy na kalala vizuri tu
 
Back
Top Bottom