kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 539
- 340
Mtoto wa umri gani mkuu fafanua
binti ana miaka 17 kijana anamiaka 18
kweli dawa ya moto ni moto!Ujinga huuu...mimi mwanangu anapewa mimba na mimi namtafuta mama yake nampachika mimba ..kwishaaaa
Criss
Hata huyo binti pia ni "mtu mzima" kwa mujibu wa restrictions za marriage act ya Tanzania. Hapa ndugu yetu kigogo1ivi atuhabarishe zaidi mazingira ya tukio ikiwamo status ya binti.