AkiliMingi AM
Member
- Jul 5, 2020
- 88
- 60
Juzi niliweka uzi flani hivi wenye heading " NAOMBENI MBINU ZENU" watu walini ponda wengine wakanipa maujanja ahsanteni woote , ila usiku wa jana shoo ilikua kali yani shoo shoo kwelii. (Nitawatag wote mlokoment kwenye ule uzi).
Mchezo ulianza hivi, mchana wa jana nilimuona mtoto amechill kama vile kaboeka, kidume nikamwendea nikaleta story za hapa na pale, mtoto yupo ize tuu yaani nikaingiza story za movie, nikamwambia kuwa napenda movies sio kitoto saana yaani kumbe naye yumo anapenda movi kunishinda muhuni. Basi nikamuuliza ashawahi kucheki queen & slim akasema bado nikamwambia tujumuike pamoja kucheki hiyo muvi.
Basi jioni ilipofika nikamwambia nitaenda chumbani kwake na PC yangu, kweli wakati ukawadia tukawa tuna cheki mzigo mkali kabisa queen&slim, ile muvi ikafikia kwenye sex hapo utamu ukazidi mtoto akaniegemea kwa hapa begani, nika pitisha mkono kwa nyuma ivi alafu akajiongeza akapitisha mkono wake kwenye jezi niliokuwa nime vaa na kushika tango lenye mishipa refu nene.
Hapo nikasogeza pc pembeni na kumshika shika lkn nlipo taka kuwa siriaz na kazi akasita kidogo nikauliza tatizo nn akasema kuwa yeye ana mtu wake hivyo kama kunipa tunda atakuwa ananipa ila sio kuwa na mahusiano, basi akaniachia uwanja nikashughulikia ipasavyo na leo tena nataka niende kumega.
Hivi munaonaje wadau mademu wawe wanatupea penzi bila kutongozana ile sana? maana inapoteza muda
Mchezo ulianza hivi, mchana wa jana nilimuona mtoto amechill kama vile kaboeka, kidume nikamwendea nikaleta story za hapa na pale, mtoto yupo ize tuu yaani nikaingiza story za movie, nikamwambia kuwa napenda movies sio kitoto saana yaani kumbe naye yumo anapenda movi kunishinda muhuni. Basi nikamuuliza ashawahi kucheki queen & slim akasema bado nikamwambia tujumuike pamoja kucheki hiyo muvi.
Basi jioni ilipofika nikamwambia nitaenda chumbani kwake na PC yangu, kweli wakati ukawadia tukawa tuna cheki mzigo mkali kabisa queen&slim, ile muvi ikafikia kwenye sex hapo utamu ukazidi mtoto akaniegemea kwa hapa begani, nika pitisha mkono kwa nyuma ivi alafu akajiongeza akapitisha mkono wake kwenye jezi niliokuwa nime vaa na kushika tango lenye mishipa refu nene.
Hapo nikasogeza pc pembeni na kumshika shika lkn nlipo taka kuwa siriaz na kazi akasita kidogo nikauliza tatizo nn akasema kuwa yeye ana mtu wake hivyo kama kunipa tunda atakuwa ananipa ila sio kuwa na mahusiano, basi akaniachia uwanja nikashughulikia ipasavyo na leo tena nataka niende kumega.
Hivi munaonaje wadau mademu wawe wanatupea penzi bila kutongozana ile sana? maana inapoteza muda