Sperience
Member
- Dec 27, 2013
- 5
- 1
Heri ya mwaka mpya wadau, Jaman naombeni msaada nina ujauzito wa week14 nilienda kufanya ultrasound juzi mtoto wangu ameonekana akicheza yaan anaruka sio mchezo, dr akinibonyesha mahali akimwangalia kwenye screen anamuona anavyorusha miguu na mikono, mimi sisikii chochote ni kwenye ultrasound tu ndio ameonekana. je ni sawa? Msaada jaman nimepatwa na wasiwasi japo dr anasema sio ajabu lakini mm mama mtu nikilinganisha na wenzangu wengi husema kuanzia miezi mi5.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app