Mtoto kuanza kuota meno ya juu, kibailojia na kimila inaashiria nini?

Mtoto kuanza kuota meno ya juu, kibailojia na kimila inaashiria nini?

Hakuna cha mila wala kawaida.....

Kila mtoto yupo tofauti na unique kinamna yake.......

Meno ni meno iwe ya juu...au chini....

Inless yangenza kuota magego ndio ungeshangaa
 
Msaada wenu tafadhali, mwanangu ameanza kuota meno ya juu badala ya chini, mama yake amekuwa mtu wa wasiwasi kila mara, majirani pia wamekuwa wanamtisha bila kumwambia sababu nini?

Nijuzeni please.
Ayarudishe na kidole gumba...kila siku asubuhi na jioni na amsugue mtoto na majivu sehe ya chini ili hayo ya chini yaote
 
Awe anatumia ulimi kuyasukumiza Hata mm nnamdogoangu alitumia njia hyo akapona lasivyo atakua nsykuka huyo ohoooo
 
mkuu pitia hapa kwenye hii link:

ndani kuna maneno haya ambayo yamenitisha kidogo.
"No any spiritual implication, but always warn him or her not to use the mouth to curse anyone, just like the way my mummy always caution me before I got married, because whatever he or she says, shall come to pass. But our God is a merciful God that cancels evil words"

Ask Mamalette: Is It Bad For Baby To Grow Upper Teeth First?
 
Inaweza kuwa ni kwa sababu tayari umechagua watu wako watatu ambao ungependa wachangie kwenye hiyo thread yako. Hata hivyo, bila kumumunya maneno, kitendo hicho kwa baadhi ya makabila ya Kanda ya Ziwa ni Taboo. Hata hivyo, ucjali kama hautokei eneo hilo, haina shida, kama unatokea eneo hilo usiwaeleze home, keep it closed within you family doors, for more info, pm me.
Mbona unanitisha tena maana mke wangu ni wa kanda ya ziwa na mwanangu wa pili kaanza kuota meno ya chini. Naomba kwa faida ya wanajamii uweke hiyo issue humu humu.
 
Hiii mada miaka 7 saba imekosa majibu mjarabu
 
Mtoto wangu alianza kuota meno ya juu Sasa ana 9yrs no problem.
 
Back
Top Bottom