Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,259
- 1,056
Habari za leo ndugu zangu wapendwa? Ni matumaini kuwa mpo safi kabisa. nimekuja hapa kwenye hili jukwaa nikiwa nina shida moja inayonitatiza.
jana nilikuwa nampa chakula mwanangu (ana miezi 7 na siku kadhaa), sasa wakati nampa nikaona kuwa ameanza kuota meno ya juu badala ya meno ya chini kama ilivyokuwa kawaida.
Hali hii nilishangaa na hata baadae nikamwambia mke wangu ambae nae pia alishangaa na hakuwa na majibu. Sasa nimeleta hii mada hapa kwenu mnipe ushauri kama kutakuwa na shida yeyote katika maendeleo na ukuaji wa mwanangu mpendwa. Nitashukuru sana kwa michango yenu.
NB: Kama hautakuwa na mchango wa maana tafadhali pita wima,
this is serious case.
najua hii ilitakiwa kwenda JF doctor ila pia najua huku kuna wadau wengi, please mods msiihamshe hii post, natanguliza shukurani za dhati
Cc; MziziMkavu, Mtambuzi, faizaFoxy na wengine
jana nilikuwa nampa chakula mwanangu (ana miezi 7 na siku kadhaa), sasa wakati nampa nikaona kuwa ameanza kuota meno ya juu badala ya meno ya chini kama ilivyokuwa kawaida.
Hali hii nilishangaa na hata baadae nikamwambia mke wangu ambae nae pia alishangaa na hakuwa na majibu. Sasa nimeleta hii mada hapa kwenu mnipe ushauri kama kutakuwa na shida yeyote katika maendeleo na ukuaji wa mwanangu mpendwa. Nitashukuru sana kwa michango yenu.
NB: Kama hautakuwa na mchango wa maana tafadhali pita wima,
this is serious case.
najua hii ilitakiwa kwenda JF doctor ila pia najua huku kuna wadau wengi, please mods msiihamshe hii post, natanguliza shukurani za dhati
Cc; MziziMkavu, Mtambuzi, faizaFoxy na wengine