Mtoto kuanza kuota meno ya juu kuna shida yeyote kiafya?

Mtoto kuanza kuota meno ya juu kuna shida yeyote kiafya?

Kwa kweli hi kitu mdau usiogope lakini wazee wengi walisema mtoto akiota meno ya juu ni uchuro yaani kuna possibility wazazi wake wote wawili wakafa akiwa bado na umri mdogo yaani chini ya miaka 12 swali je nyinyi mliosema kawaida je ulishaona mtoto kaota meno ya juu kwanza na akakuwa hadi mtu mzima wazazi wake bado wakiwa hai mi kuna nilioshuhudia wazazi wakifariki mazingira ya ajabu hadi ikawa gumzo kijijini Kuwa ni uchuro wa mtoto wao kuota meno ya juu kwanza lakini mleta mada usiogope unaweza kwenda kanisani au msikitini kutokana na imani Yako kuomba Mungu avunje roho zote za hayo mapokei ili uishe vizuri na uzima wewe na familia yako

Mkuu mie mwenyewe nimeota hayo ya juu na Leo nina 29 na Wazazi wangu wapo
 
Back
Top Bottom