Wanabodi,
Mtoto wa shemeji yenu amekuwa anaharisha au kuharisha na kutapika kwa mpigo kila usiku wa manane au alfajiri. Mchana anashinda salama tu, anakula, anacheza, hadi muda wa kulala...ila ikifika usiku wa manane hasa kuelekea alfajiri anakinukisha kidizaini hiyo. Ni dalili za ugonjwa gani na tiba ni nini?
Mtoto wa shemeji yenu amekuwa anaharisha au kuharisha na kutapika kwa mpigo kila usiku wa manane au alfajiri. Mchana anashinda salama tu, anakula, anacheza, hadi muda wa kulala...ila ikifika usiku wa manane hasa kuelekea alfajiri anakinukisha kidizaini hiyo. Ni dalili za ugonjwa gani na tiba ni nini?