cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Ni kitu gani kitamsaidia mtoto kujifunza kingereza,je awe anaangalia tamthilia za kingereza zilizotafsiliwa,kusoma hadithi za kingereza au kuangalia katuni? Naomba pia kujua kama kuna kifaa ambacho kime include games tu maana hawa watoto wetu siku hizi wanapenda sana simu sasa simu sio nzuri mtoto anaweza jifunza na visivyofaa.