Mtoto kujifunza Kiingereza

Mtoto kujifunza Kiingereza

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Ni kitu gani kitamsaidia mtoto kujifunza kingereza,je awe anaangalia tamthilia za kingereza zilizotafsiliwa,kusoma hadithi za kingereza au kuangalia katuni? Naomba pia kujua kama kuna kifaa ambacho kime include games tu maana hawa watoto wetu siku hizi wanapenda sana simu sasa simu sio nzuri mtoto anaweza jifunza na visivyofaa.
 
Mtoto ana miaka mingapi?
Kama bado hajaanza shule na ni mdogo inabidi wewe mwenyewe ujue kiingereza (,kama bado) ili uwe unazungumza naye tangu akiwa mdogo. Atakuwa akiwa anajua.
Pia jaribu kumtafutia nanny ambaye anazungumza hiyo lugha.

Kama yupo shule mpeleke shule wanazotumia hiyo lugha kwa %kubwa.
 
Penda kuwa na mazungumzo nae kwa lugha unayopenda aijue + katuni (ukianzia na zile basics nikimaanisha za namba, herufi n.k) polepole ata anza kuongea na kuelewa.

Mimi wangu nimewaongelesha kiingereza na kiswahili toka wanaanza kuongea wanajua lugha mbili na bado hawajaanza shule.
 
Ana umri Gani ...

Wewe mwenyewe unazungumza kiingereza?


Mwanangu ako na 10 months baadhi ya maneno kama ...
Come here , stop ..

Anaelewa pia namsomea hadithi za kiingereza plus kumfundisha abc ..akiona tuu kitabu popote anaanza kutamka c na e..

Watoto hujifunza KWA kutizama kinachofanywa na mkubwa /mzazi so kama huongei nae na hauhimizi Kujifunza basi tena ..
 
Unataka mtoto ajue kingereza kwajili ya nini mkuu???

Mafunzo yaendane na lengo.
 
Hapo gheto kwako mkiwa close-up na huyo kid Mnabidi kutumia lugha ya kingereza just simple tu.
 
Mpeleke st pesa. Na uwe unaongea nae kwa kimombo tu.

Na bek tatu awe aliishia fom 2 wataongea nae.

Pga marufuku kisukuma na kiswahili kwa watoto na wagen wanafunz.

Watakuwa vzr
 
Back
Top Bottom