Madaktari wengi ni vilaza linapokuja swala la Neurological problems. Serikali inabidi itilie sana mkazo kwenye eneo hili.mwaya nilishamuona ndo wanaompa hizi carbazepine na pia alipimwa CT scan, EEG wakasema yuko sawa ndo wakasema wamwanzishie tu kwanza hizi dawa za degedege waone kama iyo hali itaisha lakin ndo ivyo sasa kashameza carbamazepine mwezi mzima bila mafanikio
mwaya nilishamuona ndo wanaompa hizi carbazepine na pia alipimwa CT scan, EEG wakasema yuko sawa ndo wakasema wamwanzishie tu kwanza hizi dawa za degedege waone kama iyo hali itaisha lakin ndo ivyo sasa kashameza carbamazepine mwezi mzima bila mafanikioMuone paediatric Neurologist akupe ushauri na vipi ni vinavyofaa.
Dawa za mfumo wa fahamu huchukua muda mrefu kuonyesha matokeo. Usiache kupata ushauri wa watalaamu.mwaya nilishamuona ndo wanaompa hizi carbazepine na pia alipimwa CT scan, EEG wakasema yuko sawa ndo wakasema wamwanzishie tu kwanza hizi dawa za degedege waone kama iyo hali itaisha lakin ndo ivyo sasa kashameza carbamazepine mwezi mzima bila mafanikio
hMadaktari wengi ni vilaza linapokuja swala la Neurological problems. Serikali inabidi itilie sana mkazo kwenye eneo hili.
alipewa pia Neurotone si nayo ndo hizo vitamin pia'Mtwange' dozi ya vitamin B complex. Kidonge kimoja asubuhi na kimoja jioni kwa mda wa miezi mitatu mfululizo. Pia mpe maji ya kunywa ya kisimani (hard water) yale ambayo hayashiki sabuni, ili apate madini muhimu kama Calcium na Magnesium.
Kwa dozi hii asipopona, ujue karogwa huyo.
sawa nashukuru mwayaDawa za mfumo wa fahamu huchukua muda mrefu kuonyesha matokeo. Usiache kupata ushauri wa watalaamu.
I dont like to be asked the same question twice. Kama zingemsaidia usingekuja hapa kuomba ushauri.h
alipewa pia Neurotone si nayo ndo hizo vitamin pia
sawa iyo kidonge kimoja ni kwa umri wowote? maana ana miaka minne (4)I dont like to be asked the same question twice. Kama zingemsaidia usingekuja hapa kuomba ushauri.
Fuata maelekezo.
Yep! Vitamins hazinaga overdosage. Mwili ukiridhika na mahitaji yake, the rest goes into urine to make 'an expensive urine'.sawa iyo kidonge kimoja ni kwa umri wowote? maana ana miaka minne (4)
Yep! Vitamins hazinaga overdosage. Mwili ukiridhika na mahitaji yake, the rest goes into urine to make 'an expensive urine'.sawa iyo kidonge kimoja ni kwa umri wowote? maana ana miaka minne (4)
Au amtaftie zile multvitamin capsules...Yep! Vitamins hazinaga overdosage. Mwili ukiridhika na mahitaji yake, the rest goes into urine to make 'an expensive urine'.
sawa shukran na ubarikiwe na munguYep! Vitamins hazinaga overdosage. Mwili ukiridhika na mahitaji yake, the rest goes into urine to make 'an expensive urine'.
By the way, vitamins sio dawa. Ni nutrients. Baadhi ya watu huwa na uwezo mdogo wa ku absorb vitamins from small intestine due to genetic make up, so hutokea kuwa na upungufu.
Ni mtoto wa ngap na ww umemzaa ukiwa na umri gan? Tuanzie hapo mama
Sent using Jamii Forums mobile app