habar zenu wapendwa, naomba kuuliza mtoto wangu kuna jinsi ananyoosha miguu kwa kuikakamaza na answet anafanya ivo kwa sekunde chache na kuacha sasa imechukua almost 2 years, kapewa dawa za degedege kwa mwezi mzima lakni hakuna mabadiliko dawa zenyewe ni (carbamazepine)