Mwambie mama yake ajitahidi kumnyonyesha na pia ajaribu kuwa anamkaba,hata mimi alikuwa anasumbuwa nashukuru sasa hivi walau anakula angalau.Habari za mda huu wana jf doctor
niende kwenye mada ni kwamba nina mtoto wa kike wa mwaka mmoja na mwezi mmoja
tatizo mtoto hataki kula,tumemjaribu kila aina ya chakula,ila ukimrisha anatema,anapenda kunyonya
huu ni mwezi wa2 sasa,hospitally tumeenda ila bado habadiliki,imefikia hata akiwa anatembea anakuwa anapepesuka sasa yaani hana nguvu
msaada eenu wandugu
Pole sana mkuu,aisee usipokuwa imara atakusumbua sana.Habari za mda huu wana jf doctor
niende kwenye mada ni kwamba nina mtoto wa kike wa mwaka mmoja na mwezi mmoja
tatizo mtoto hataki kula,tumemjaribu kila aina ya chakula,ila ukimrisha anatema,anapenda kunyonya
huu ni mwezi wa2 sasa,hospitally tumeenda ila bado habadiliki,imefikia hata akiwa anatembea anakuwa anapepesuka sasa yaani hana nguvu
msaada eenu wandugu
Pole sana mkuu,aisee usipokuwa imara atakusumbua sana.
Mtoto wa dada yangu alikuwa hivyo ss yy ilikuwa zaidi maana mpaka anafikisha miaka 2.5 alikuwa hali chochote yy ni kunyonya tu hata kutembea alikuwa hatembei na ukimuangalia ngozi ilikuwa nyororo ile ya kung'aa km utapimlo yaani haina hata dalili ya vinyweleo mpaka ikabidi bimkubwa aje ndo sister akampeleka mtoto kwa bibi ilimradi aache kule kunyonya.
Siku za mwanzo hali ilikuwa tete kwa bimkubwa ilibidi Azam embe zisikatike ndani hasa usiku ila tunamshukuru Mungu alipoanza kula hali ilibadilika na sasa ana miaka 4 anakimbia na yuko safi tena ni kikorofi hatari.
Mkuu chakula ni dawa pia mkazanie sana.
Jaribu kumuwekea finger food. Hivi ni vyakula kama nyama za kavu bila mchuzi, carrots, viazi, mihogo ya kuchemsha na matunda kama zabibu lakini zikatwe katikati, machungwa na machenza yaliyomenywa.
Weka sehemu anayofikia, akisikia njaa atachukua.
Kuna watoto ambao hawapendi routine ya chakula lakini wanaokoteza huku wakiwa wanaendelea kucheza.
asee mkabe Hugo usimuonee huruma,wifi angu alikua anamkaba wakati Wa uji mpaka unaisha ,bila nguvu hawali hawa .Habari za mda huu wana jf doctor
niende kwenye mada ni kwamba nina mtoto wa kike wa mwaka mmoja na mwezi mmoja
tatizo mtoto hataki kula,tumemjaribu kila aina ya chakula,ila ukimrisha anatema,anapenda kunyonya
huu ni mwezi wa2 sasa,hospitally tumeenda ila bado habadiliki,imefikia hata akiwa anatembea anakuwa anapepesuka sasa yaani hana nguvu
msaada eenu wandugu
Jaribu kumuwekea finger food. Hivi ni vyakula kama nyama za kavu bila mchuzi, carrots, viazi, mihogo ya kuchemsha na matunda kama zabibu lakini zikatwe katikati, machungwa na machenza yaliyomenywa.
Weka sehemu anayofikia, akisikia njaa atachukua.
Kuna watoto ambao hawapendi routine ya chakula lakini wanaokoteza huku wakiwa wanaendelea kucheza.
Unajua shida hii mara nyingi inawakumba watoto wa familia bora ila huwezi kuikuta kwa wale watoto ambao msosi ni gombania goli,hebu karibu kumpeleka likizo mazingira tofauti na hapo.******
Ndugu Sky Eclat na nyote, ahsantenii kwa ushauri mzuri, je kama ana miaka 10 lakini ana shida kama hiyo nifanyeje, maana hospitali tuliambiwa atabadirika lakini tumempa kila aina ya matunda na kila aina ya vyakula hali haibadiriki, hata vyakula vizuri kiasi gani.Natamani ungeniruhusu niwe nakuuliza/kukueleza mara kwa mara maendeleo yake, Mungu awabariki wachangiaji nyote.
Asubuhi mpigishe mswaki na whitedent atakula tuHabari za mda huu wana jf doctor
niende kwenye mada ni kwamba nina mtoto wa kike wa mwaka mmoja na mwezi mmoja
tatizo mtoto hataki kula,tumemjaribu kila aina ya chakula,ila ukimrisha anatema,anapenda kunyonya
huu ni mwezi wa2 sasa,hospitally tumeenda ila bado habadiliki,imefikia hata akiwa anatembea anakuwa anapepesuka sasa yaani hana nguvu
msaada eenu wandugu