Mtoto kulia sana wakati wa usiku

Mtoto kulia sana wakati wa usiku

Kwenye kununiana hapa nimecheka cuz seriously mnacharukiana kabisa yan...ila ndo hamuezi muacha mtoto bila kuhangaika,hahaa!
Hahaha acha kabisa hadi mnanuniana na wife maana hanyonyi ni kulia tu wife anabembeleza anachoka ananipa narukaruka namrudishia mnamuweka kitandani analiaa mnaanza tena mpaka sa10 ndio analala

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiende kwa mganga

Watoto wa miezi 1-3 huwa LAZIMA wapitie hii shida, sio wako tuu , hta hapa nilipo mpangaji mwenzangu mwanaye anamwez na wiki moja .

Namida yao ya kulia ni kuanzia saa nne mpaka saa nane au kumi.

Nizungumze kitaalamu

Kwanza usije mpa maji sababu umeambiwa anasikia kiu.

Pili, kama muda anaolala umepita masaa mawili toka ulipomnyonyesha BASI UJUE NI NJAA.

ALAFU MWAMBIE MKEO IVI. MTOTO ANANYONYA KWA MASHAVU SIO LIPS ZA MDOMO MAANA LIPS ZAO HAZINA NGUVU. KWAIYO AHAKIKISHE ANAINGIZA CHUCHU YOTE INAPOTELEA MDOMON. MPAKA ILE RANGI NYEUSI KUZUNGUKA TITI ISIONEKANE,,, HAPO MTOTO ATANYONYA NAKUSHIBA VZUR....
Mtoto akinyonya kwa lips hashibi sababu hayapat maziwa vzuri.

Tatu, Mama ajaribu kumbebea kifuani mwake pindi anapolia, au ahakikishe anamkumbatia kiubabavu uku uso sa mtoto ukiwa karibu na matiti yake.

Nne, Je anajikunja sana ?? Yaan miguu yake anaikunja kuelekea tumbon anakua km anapata maumivu tumbon???

Tano ,mtizame eneo la shingon chini ya masikio kuna utofauti wowote kati ya kulia nakushoto???.


MWISHO, MIEZI MITATU IKIISHA ATAPOAA.. KWA MAELEZO ZAIDI NIPM[emoji120]

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
 
Hii kwenda kwa mganga hatujawah kuwazia wala hata kuzungumzia,
Anapolia huwa hajikunji miguu,hulia kiukawaida tu!
Ntajaribu kumchunguza kuona kama kuna tofauti zozote katika hayo masikio na shingoni...
Usiende kwa mganga

Watoto wa miezi 1-3 huwa LAZIMA wapitie hii shida, sio wako tuu , hta hapa nilipo mpangaji mwenzangu mwanaye anamwez na wiki moja .

Namida yao ya kulia ni kuanzia saa nne mpaka saa nane au kumi.

Nizungumze kitaalamu

Kwanza usije mpa maji sababu umeambiwa anasikia kiu.

Pili, kama muda anaolala umepita masaa mawili toka ulipomnyonyesha BASI UJUE NI NJAA.

ALAFU MWAMBIE MKEO IVI. MTOTO ANANYONYA KWA MASHAVU SIO LIPS ZA MDOMO MAANA LIPS ZAO HAZINA NGUVU. KWAIYO AHAKIKISHE ANAINGIZA CHUCHU YOTE INAPOTELEA MDOMON. MPAKA ILE RANGI NYEUSI KUZUNGUKA TITI ISIONEKANE,,, HAPO MTOTO ATANYONYA NAKUSHIBA VZUR....
Mtoto akinyonya kwa lips hashibi sababu hayapat maziwa vzuri.

Tatu, Mama ajaribu kumbebea kifuani mwake pindi anapolia, au ahakikishe anamkumbatia kiubabavu uku uso sa mtoto ukiwa karibu na matiti yake.

Nne, Je anajikunja sana ?? Yaan miguu yake anaikunja kuelekea tumbon anakua km anapata maumivu tumbon???

Tano ,mtizame eneo la shingon chini ya masikio kuna utofauti wowote kati ya kulia nakushoto???.


MWISHO, MIEZI MITATU IKIISHA ATAPOAA.. KWA MAELEZO ZAIDI NIPM[emoji120]

"Dume la Nyani haliogopi Umande"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa muongozo mkuu![emoji120]
Usiende kwa mganga

Watoto wa miezi 1-3 huwa LAZIMA wapitie hii shida, sio wako tuu , hta hapa nilipo mpangaji mwenzangu mwanaye anamwez na wiki moja .

Namida yao ya kulia ni kuanzia saa nne mpaka saa nane au kumi.

Nizungumze kitaalamu

Kwanza usije mpa maji sababu umeambiwa anasikia kiu.

Pili, kama muda anaolala umepita masaa mawili toka ulipomnyonyesha BASI UJUE NI NJAA.

ALAFU MWAMBIE MKEO IVI. MTOTO ANANYONYA KWA MASHAVU SIO LIPS ZA MDOMO MAANA LIPS ZAO HAZINA NGUVU. KWAIYO AHAKIKISHE ANAINGIZA CHUCHU YOTE INAPOTELEA MDOMON. MPAKA ILE RANGI NYEUSI KUZUNGUKA TITI ISIONEKANE,,, HAPO MTOTO ATANYONYA NAKUSHIBA VZUR....
Mtoto akinyonya kwa lips hashibi sababu hayapat maziwa vzuri.

Tatu, Mama ajaribu kumbebea kifuani mwake pindi anapolia, au ahakikishe anamkumbatia kiubabavu uku uso sa mtoto ukiwa karibu na matiti yake.

Nne, Je anajikunja sana ?? Yaan miguu yake anaikunja kuelekea tumbon anakua km anapata maumivu tumbon???

Tano ,mtizame eneo la shingon chini ya masikio kuna utofauti wowote kati ya kulia nakushoto???.


MWISHO, MIEZI MITATU IKIISHA ATAPOAA.. KWA MAELEZO ZAIDI NIPM[emoji120]

"Dume la Nyani haliogopi Umande"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana na hongereni. Mmewahi kuangalia kama anasumbuliwa na hewa (gas) tumboni? Mtoto anaponyonya anavuta maziwa na hewa nyingi. Baada ya mama kumnyonyesha ni muhimu kumweka mtoto begani na kumkanda taratibu mgongoni mpaka atoe hewa (acheue). Kama kumweka begani ni vigumu anaweza kumweka miguuni kifudifudi huku akimkanda taratibu mgongoni aweze kutoa hewa aliyoimeza na maziwa. Baada ya hapo ndio amlaze kitandani. Hewa ikijaa tumboni hawezi kukubali hata kunyonya na analia sana. Mimi siyo daktari lakini nina uzoefu wa muda mrefu, watoto watatu na wajukuu watano. Hata mjukuu wangu mmoja alisumbua sana nikawapa wazazi ushauri kama huo ukasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa muongozo mkuu![emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawasawa, kua na aman . Sambamba nahayo,

Tuzungumze kidini kidogo

Umri huu ni umri wa kiroho hapa mtoto ni roho zaidi kuliko uanadamu. Hivo eneo lake analokua huwa linatawaliwa na Roho .

Sasa ukumbuke kuna Roho mchafu, roho za kilozi na kishetan muda wao huwa ni Kuanzia saa nne mpaka saa kumi ( ndo maana pia ndio huohuo muda watoto wanalia) kwasababu Roho mtakatifu wamtoto anakua anapambana na Roho mchafu .

Na uelewe hapa.. Roho haionekani, lkn iyoiyo Roho ni rahis sana Kugunduliwa na Roho yenzake . Sasa hapa itategemea ni roho msafi au mchafu.


Kwa ufupi, pamoja na maelezo nlokupa hapo juu, HAKIKISHA UNASALI NA KUOMBA SANA ILI ENEO LENU LITAWALIWE ZAIDI NA ROHO MSAFI .



"Dume la Nyani haliogopi Umande"
 
Huwa tunajitahid sana kumtoa gesi tumboni kila mara baada ya kunyonya maana tulipewa somo jinsi ya kufanya hili
Poleni sana na hongereni. Mmewahi kuangalia kama anasumbuliwa na hewa (gas) tumboni? Mtoto anaponyonya anavuta maziwa na hewa nyingi. Baada ya mama kumnyonyesha ni muhimu kumweka mtoto begani na kumkanda taratibu mgongoni mpaka atoe hewa (acheue). Kama kumweka begani ni vigumu anaweza kumweka miguuni kifudifudi huku akimkanda taratibu mgongoni aweze kutoa hewa aliyoimeza na maziwa. Baada ya hapo ndio amlaze kitandani. Hewa ikijaa tumboni hawezi kukubali hata kunyonya na analia sana. Mimi siyo daktari lakini nina uzoefu wa muda mrefu, watoto watatu na wajukuu watano. Hata mjukuu wangu mmoja alisumbua sana nikawapa wazazi ushauri kama huo ukasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu, tutajitahid zaidi kuongeza nguvu za kiroho kwa maombi ili kuleta hali shwari...ubarikiwe sana maana hili ni muhimu sana pia!
Basi sawasawa, kua na aman . Sambamba nahayo,

Tuzungumze kidini kidogo

Umri huu ni umri wa kiroho hapa mtoto ni roho zaidi kuliko uanadamu. Hivo eneo lake analokua huwa linatawaliwa na Roho .

Sasa ukumbuke kuna Roho mchafu, roho za kilozi na kishetan muda wao huwa ni Kuanzia saa nne mpaka saa kumi ( ndo maana pia ndio huohuo muda watoto wanalia) kwasababu Roho mtakatifu wamtoto anakua anapambana na Roho mchafu .

Na uelewe hapa.. Roho haionekani, lkn iyoiyo Roho ni rahis sana Kugunduliwa na Roho yenzake . Sasa hapa itategemea ni roho msafi au mchafu.


Kwa ufupi, pamoja na maelezo nlokupa hapo juu, HAKIKISHA UNASALI NA KUOMBA SANA ILI ENEO LENU LITAWALIWE ZAIDI NA ROHO MSAFI .



"Dume la Nyani haliogopi Umande"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko na mapacha wa miezi miwili mmoja huyo mdogo anasumbua kweli kwlei usiku. anakula anashiba ila sasa kulia hiyo usipime
 
Back
Top Bottom