Jimmy Romio
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 367
- 278
Habari Wadau
Kuna ndugu yangu huwa akimshika mtoto (pakata) huwa mtoto analia sana kama vile kafinywa. Mtoto ana umri wa miezi miwili. Lakini akipakatwa na mtu mwingine anatulia. Wajuzi wa maswala ya watoto hii hali inasababishwa na nini?
Asante
Kuna ndugu yangu huwa akimshika mtoto (pakata) huwa mtoto analia sana kama vile kafinywa. Mtoto ana umri wa miezi miwili. Lakini akipakatwa na mtu mwingine anatulia. Wajuzi wa maswala ya watoto hii hali inasababishwa na nini?
Asante