Mtoto kunyonya kidole gumba

Mtoto kunyonya kidole gumba

Binti angu ana miaka 3.2 tatizo ni kunyonya kidole mpk kinaweka kidonda. Je ni tatizo la setting ya ubongo (aliwekewa kidole mdomoni na nurse just after birth). Hata umkataze vip kuna time ataweka tu imekua kama conditioned reflex action. Huu unyonyaji waweza sababisha hata dentition disformation

Nimejaribu kutumia thumb guard lakini naona its too artificial na haimpi freedom kucheza. What is the best approach towards similar case?

mbona hayo ni mambo ya kawaida au siku hizi yamekuwa mengine. kunyonya kidole ni kawaida tu kwa watoto, wakikua wanaacha wenyewe. Tena kila mtoto ana staili yake ya kunyonya kidole, akinyonya kidole anaweza kujikuna pua, wengine sikio, alimradi tu, nilisoma shule na jamaa akinyonya kidole gumba kidole kingine anaingiza puani anachokonoa! sijui alishaacha..
 
mbona hayo ni mambo ya kawaida au siku hizi yamekuwa mengine. kunyonya kidole ni kawaida tu kwa watoto, wakikua wanaacha wenyewe. Tena kila mtoto ana staili yake ya kunyonya kidole, akinyonya kidole anaweza kujikuna pua, wengine sikio, alimradi tu, nilisoma shule na jamaa akinyonya kidole gumba kidole kingine anaingiza puani anachokonoa! sijui alishaacha..

Aisee kweli eh?
 
Binti angu ana miaka 3.2 tatizo ni kunyonya kidole mpk kinaweka kidonda. Je ni tatizo la setting ya ubongo (aliwekewa kidole mdomoni na nurse just after birth). Hata umkataze vip kuna time ataweka tu imekua kama conditioned reflex action. Huu unyonyaji waweza sababisha hata dentition disformation

Nimejaribu kutumia thumb guard lakini naona its too artificial na haimpi freedom kucheza. What is the best approach towards similar case?

Atakuja acha tu. Mimi mwenyewe nilinyonya sana hiyo kitu, wadogo zangu pia. Sijaona mtu mwenye meno yaliyopangika vibaya. Nahisi havina uhusiano kabisa. Wote shule tumeenda na akili za kawaida tulikuwa nazo na wote sasa tunakazi zetu ambazo zimetoka na shule. Ukimbuguzi kwa kunyonya kwake kudole utaathili ukuaji wake, wewe muache na yeye ataacha mwenyewe. Kuwa mvumilivu.

Mimi nipata mtoto naye kama baba ananyonya kidole.
 
Binti angu ana miaka 3.2 tatizo ni kunyonya kidole mpk kinaweka kidonda. Je ni tatizo la setting ya ubongo (aliwekewa kidole mdomoni na nurse just after birth). Hata umkataze vip kuna time ataweka tu imekua kama conditioned reflex action. Huu unyonyaji waweza sababisha hata dentition disformation

Nimejaribu kutumia thumb guard lakini naona its too artificial na haimpi freedom kucheza. What is the best approach towards similar case?

Mtoto kunyonya kidole ni sehemu muhimu sana ya makuzi. Si kawaida mtoto kuzaliwa na kukua bila kupitia hatua hiyo. Mimi ni mtaaluma wa maswala ya watoto hasa makuzi ya awali yani early child development. Hatua hiyo humsaidia kum comfort mtoto au ku deal na stress pale anapopata tatizo mara nyingi hunyonya kidole. Sijafahamu sana kama ikichukua muda mrefu kuna madhara. Nitachimba zaidi. Ila nawaahidi kesho kuwashushia taarifa zote za msingi na mtastaajabu uumbaji wa Mungu. Kwa elimu juu ya malezi ya mtoto mchanga na jinsi ya kumbumba mtoto vile utakavyo awe maishani (moulding) tuwasiliane kwa PM. Je, wajua Praise and Ignore Theory? Hii ni muhimu sana ktk parenting. Mtoto anapaswa kusifiwa anapofanya mazuri na anapaswa kupuuzwa anapofanya mabaya ili ajue hujapenda na inasaidia ku discourage bad behavior within a child. Nitawaletea uzi maalumu kwa ajili ya hili pia.
 
Baba mmoja mwanae alikua na tatzo kama hlo akaamua kumdanganya kua akinyonya kidole tumbo litakua kubwaa na siku moja linaweza pasuka mtoto akaamin na ile tabia akaacha sababu ya uoga, kimbembe kikaja siku moja kwao kaja mama mjamzito na tumbo kubwa kwelikwel mtoto kuona akaanza kuruka ruka na kushangilia kuwa anajua kwa nini tumbo limekua kubwa huku akishangilia na kuruka ruka kila akimwangalia yule mama anamwambia najua ndo mana tumbo lako limekua kubwa si umenyonya.! Yule mama kusikia hvyo nusura azimie
 
Mtoto kunyonya kidole ni sehemu muhimu sana ya makuzi. Si kawaida mtoto kuzaliwa na kukua bila kupitia hatua hiyo. Mimi ni mtaaluma wa maswala ya watoto hasa makuzi ya awali yani early child development. Hatua hiyo humsaidia kum comfort mtoto au ku deal na stress pale anapopata tatizo mara nyingi hunyonya kidole. Sijafahamu sana kama ikichukua muda mrefu kuna madhara. Nitachimba zaidi. Ila nawaahidi kesho kuwashushia taarifa zote za msingi na mtastaajabu uumbaji wa Mungu. Kwa elimu juu ya malezi ya mtoto mchanga na jinsi ya kumbumba mtoto vile utakavyo awe maishani (moulding) tuwasiliane kwa PM. Je, wajua Praise and Ignore Theory? Hii ni muhimu sana ktk parenting. Mtoto anapaswa kusifiwa anapofanya mazuri na anapaswa kupuuzwa anapofanya mabaya ili ajue hujapenda na inasaidia ku discourage bad behavior within a child. Nitawaletea uzi maalumu kwa ajili ya hili pia.

Mkuu uko deep sana, nitaku-pm kwa ajili ya maelekezo ya ziada. Hayo yote mi siyajui najua tu kawaida ila sijasoma sehemu wala kusikia zaid ya kuona comment yako
 
Baba mmoja mwanae alikua na tatzo kama hlo akaamua kumdanganya kua akinyonya kidole tumbo litakua kubwaa na siku moja linaweza pasuka mtoto akaamin na ile tabia akaacha sababu ya uoga, kimbembe kikaja siku moja kwao kaja mama mjamzito na tumbo kubwa kwelikwel mtoto kuona akaanza kuruka ruka na kushangilia kuwa anajua kwa nini tumbo limekua kubwa huku akishangilia na kuruka ruka kila akimwangalia yule mama anamwambia najua ndo mana tumbo lako limekua kubwa si umenyonya.! Yule mama kusikia hvyo nusura azimie

Loh nimecheka aiseee!! Hawa watoto hawa
 
Baba mmoja mwanae alikua na tatzo kama hlo akaamua kumdanganya kua akinyonya kidole tumbo litakua kubwaa na siku moja linaweza pasuka mtoto akaamin na ile tabia akaacha sababu ya uoga, kimbembe kikaja siku moja kwao kaja mama mjamzito na tumbo kubwa kwelikwel mtoto kuona akaanza kuruka ruka na kushangilia kuwa anajua kwa nini tumbo limekua kubwa huku akishangilia na kuruka ruka kila akimwangalia yule mama anamwambia najua ndo mana tumbo lako limekua kubwa si umenyonya.! Yule mama kusikia hvyo nusura azimie

whahahah inachekesha mbona hujamalizia sasa
 
ukitaka majibu ya haraka muwekee pilipili haiwezi mdhuru. zamani huku ulaya wamama walikuwa wanapaka kwinini kwenye manyonyo kuachisha watoto kunyonya
 
hiyo kwa kawaida ni hutokana na urithi.mwingine tangu akiwa mdogo kabisa akipewa chuchu anaongeza na kidole mdomoni .
 
Mkuu uko deep sana, nitaku-pm kwa ajili ya maelekezo ya ziada. Hayo yote mi siyajui najua tu kawaida ila sijasoma sehemu wala kusikia zaid ya kuona comment yako

ImageUploadedByJamiiForums1410209878.232976.jpgImageUploadedByJamiiForums1410209919.932089.jpg[o Huwasaidia watoto wenyewe kujisikia vizuri
ATTACH]183925[/ATTACH]

Nimejitahidi kutaka kuendelea kuchangia mada ya dole gumba ila nakosa sana muda. Nimejaribu ku screen shot sehemu muhimu kidogo tu inayoelezea nadharia ya kusifu na kumpuuza mtoto. Nitaleta uzi kamili kesho.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1410209974.583759.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1410209974.583759.jpg
    132.5 KB · Views: 56
Back
Top Bottom