UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,399
- 1,014
Alitakiwa awe ameanza kutambaa huyo anatatizo ni vyema kwenda hosptal
Anatakiwa kuwa ametambaa japo wengine hawatambai wanatembea moja kwa moja.Anaweza kuwa na tatizo ama asiwe nalo.Usipunic sana.
Hivi waungwana mtoto ni lazima atambae ndo atembee kuna mbidada hapa ananisumbua kweli si wajua ukiwa umesoma kidogo. Mtoto mwaka mmoja hatambai wala kutembea kuna nini hapa?
......kuna watoto wengine hawatambai, kama wangu mmojawapo. Alianza kusimamia vitu na kutembea kushikilia vitu......miezi 13 akaanza kutembea.
Je huyo wako anasimama dede na kushikilia vitu? Kama yupo mwaka 1 anatakiwa awe stage hiyo.
Kutambaa si lazima kwani wapo ambao huiruka hiyo steji.
Wapo wengine ambao huanza kutembea wakiwa na miezi 6-7.
Mimi ilinibidi niwahi kwa pediatrician kumwuliza kama hiyo ni kawaida au la maana huyu bibie wangu alianza akiwa na miezi 6.
Is it possible for a baby to walk at 5-6 months?
.......watoto wa kike mara nyingi wanatembea mapema, mimi pia nilitembea nikiwa na miezi 8.
Wangu miezi saba na nusu hajatambaa ,sema nampenda sana nambeba kila saa sitaki apate shida na stress.atambae aende wapi?M wangu miez 8 ajatambaa Wa kiume
Wangu miezi saba na nusu hajatambaa ,sema nampenda sana nambeba kila saa sitaki apate shida na stress.atambae aende wapi?
Ana umri gani?HV kama mtoto kachelewa kutembea unafanyaje?
MwakaAna umri gani?
Unatakiwa usimbemendeHV kama mtoto kachelewa kutembea unafanyaje?