Habari zenu wkuu!
Jamani mimi na mke wangu tumebahatika kupata mtoto wa kiume tarehe 5 ya mwezi wa pili mwaka huu ambapo mpaka sasa anatimiza mwezi mmoja.
Tatizo tuliloanza kuliona kwa siku 4 sasa ni la mtoto kutetemeka miguu kwa muda kisha hutulia ila baada ya muda hilo tatizo hujirudia tena.
Kwa hiyo jamani tunaomba kufahamishwa kama hii ni hali ya kawaida au kuna tatizo hapo?
Jamani mimi na mke wangu tumebahatika kupata mtoto wa kiume tarehe 5 ya mwezi wa pili mwaka huu ambapo mpaka sasa anatimiza mwezi mmoja.
Tatizo tuliloanza kuliona kwa siku 4 sasa ni la mtoto kutetemeka miguu kwa muda kisha hutulia ila baada ya muda hilo tatizo hujirudia tena.
Kwa hiyo jamani tunaomba kufahamishwa kama hii ni hali ya kawaida au kuna tatizo hapo?