Madiba
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 426
- 252
JF Doctor, madaktari na wanaJF concerned, kuna mtoto aged 7 or 8 amekuwa anatokwa na haja kubwa kiasi kidogo lakini bila kujijua.
Ameisha pelekwa kwa madaktari mara kadhaa, amechukuliwa vipimo vya haja kubwa ambavyo matokeo yake hayaonyeshi tatizo lolote.
Madaktari wamesema kuwa atizo hilo lianisha kadri mtoto anavyokuwa, lakini hainyeshi hivyo.
Naomba ushauri wenu!
Ameisha pelekwa kwa madaktari mara kadhaa, amechukuliwa vipimo vya haja kubwa ambavyo matokeo yake hayaonyeshi tatizo lolote.
Madaktari wamesema kuwa atizo hilo lianisha kadri mtoto anavyokuwa, lakini hainyeshi hivyo.
Naomba ushauri wenu!