Kwa kawaida mtoto huishi katika tumbo la mama kwa muda wa miezi 9 sawa na wiki 37 mpaka wiki 40 ambazo ni sawa na miez 10 japo wengine huzaliwa chini ya wiki 37 ambao huitwa watoto njiti. Kuzidi miezi 11 sina hakika sana, nakushauri uonane na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake kwaajili ya uchunguzi zaidi.
kama kuna mjamzito hilo limemkuta aende hospitali waone kama kuna ulazima wa kumwanzishia uchungu mtoto atoke au suluhisho jingine.
Pia kumbuka mtoto muda huo anaendelea kukua, so kadri siku zinavyozidi kuongezeka na yeye anazidi kukua, hivyo kufanya uwezekano wa kuzaliwa kwa njia ya kawaida kuzidi kupungua maana huenda njia isitoshe.
Inawezekana pia kama hakuhudhulia cliniki anaweza kujidanga kupiga hesabu ya siku za mimba, kama ulisha wahi kusikia mtu amejidanganya kuwa ni mjamzito wakati sio mjamzito!. Hayo yote yanawezekana!.