Mtoto Lulu anafunika kwenye filamu za Bongo

Mtoto Lulu anafunika kwenye filamu za Bongo

kamependeza, watu wsikaharibu ili kaweke maisha vizuri maana industry ya cinema inakuwa vizuri kwa kulipa

Cha mwenzio sio chako KITWANGE TU,huyo bint ndo keshachachuliwa,shule imemshnda.
Pia huwa najiuliza,hvi hawa wasanii wa kiume wa filamu ni kwanini wahucka wa kike huwapozition kwa mavaz ya kuaibisha?ilhali wao wanavaa vzuri,movie nyng sana charaktaz huwa wanaonyesha maungo yao yote,dah jamani!angalia ray alivovaa na hao akina lulu
 
Mbona sioni mtoto hapo?
Ni yupi, huyo anaekula PIPI KIJITI?
 
Lulu ni mpenz wa ALLY KIBA... kapo form three. Jamen!

si mtoto ni binti mkubwa tu na sidhani kweli kama mshika mawili ataweza yote manake kuchanganya shule na filamu sidhani labda ni kajiniasi ka kuzaliwa
 
Hivi wanajua maana ya hizo pipi kijiti hapo mdomoni au wanaiga tu
 
nilikasikia kwenye clouds tv kakijisifu kuwa mchumbake ni alikiba, na wanaweza kuja kuoana...mtoto mdogo kama yule, ameshamalizwa, pwepwe kabisa.
 
Lulu kushoto akiwa na anko Ray na mwenzake. Wapenzi wa Tolywood jiandaeni.
FAMILY%2BDIS_2.jpg




FAMILY%2BDIS_DVD%2B2.jpg
mambo ya springi chikeni bana... tatizo njemba zimizoe kupamban ana miamba myenzenu...!!! washakua hao:tongue::tongue:
 
kimeshapukuchwa vibaya! ukienda kichwakichwa hakichelewi kukuuliza uko ndani au nje.
 
Back
Top Bottom