mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Ndugu
Kuna kakijana kangu kana miezi 7 sasa, aliwahi kunyolewa mara moja tu tangu amezaliwa akiwa na kama mwezi mmoja baada ya apo ukuaji wa nywele umekua wa kusuasua sana.
Kwa sasa zimeota ila sio za kutosha na sio nyingi na hazijaota kisogoni na nyuma karibu na shingoni, naomba msaada je, hili ni tatizo au ni kawaida?
Mtoto haumwi yupo sawa, MziziMkavu saidia.
Kuna kakijana kangu kana miezi 7 sasa, aliwahi kunyolewa mara moja tu tangu amezaliwa akiwa na kama mwezi mmoja baada ya apo ukuaji wa nywele umekua wa kusuasua sana.
Kwa sasa zimeota ila sio za kutosha na sio nyingi na hazijaota kisogoni na nyuma karibu na shingoni, naomba msaada je, hili ni tatizo au ni kawaida?
Mtoto haumwi yupo sawa, MziziMkavu saidia.