Mtoto Mgongoni, Mwingine Tumboni, Jembe begani, Mzigo Kichwani

Mtoto Mgongoni, Mwingine Tumboni, Jembe begani, Mzigo Kichwani

siwezi kusema kuwa ni fupi sana ila siyo refu. up to now, nimeshairejea zaidi ya mara moja kuisoma coz haichoshi

asante mkuu, i hope you find your place in the story. there must be something you can tell about your mother, please share
 
pole kwa kupoteza mama yako mpenzi. ubarikiwe sana muhosni kwa jinsi unavyowathamini kinamama wote kwa heshima ya amamko uliyempenda. damu na nyama havikukufunulia haya ila baba yetu aliye mbinguni.

Glory to God

Salute Miss Judith!

I was told of women's day today but did not know exactly what it means. I later convinced myself kwamba hii siyo birthday celebrations, kwamba tunatakiwa tuwaheshimu mama zetu na kukumbuka tunavyothamini mchango wao, na kujitoa kwao katika maisha yetu.

I hope you have a story to tell too?
 
Pole sana Muhosni, ubarikiwe sana kwa kulitambua hilo. Nani kama mama?
 
Nyerere alitoa matibabu bure kwa watanzania miliono 25, alitoa elimu bure kwa wote waliotaka bila upendeleo, kulikuwa na ajira za kutosha kuanzia asie na elimu hadi mwenye elimu ya juu, wanaume waliokuwa wanawaonea wanawake walishitakiwa kwa mjumbe wa nyumba kumi au ofisi ya ccm. Nyerere alipigania uhuru wa Afrika kwa maslahi ya wanawake na watoto ambao walikuwa wanateseka zaidi.
Nyerere alikubali kuingia gharama kubwa kumtoa IDDI AMINI ambaye alivamia inchi yete na askari wake na kuwabaki wanawake wa Kitanzania. Mwanamke wa sasa ana dhiki kuliko wakati wa Nyerere. Kila kitu kipo lakini hawezi kununua. wakati wa Nyerere vitu vilikuwa vichache lakini alikuwa anauwezo wa kununua. Wanawake wa mijini wanahangaika mchana kutwa kupanga mbogamboga barabarani ili waweze kupata kipato cha kujikimu, wale wa vijijini ndiyo dhiki kabisa.
WANAWAKE PAMOJA NA MAMA YANGU ALIYEZAA WATOTO 12 NA KUWALEA BILA MFANYAKAZI WA NDANI NAWAOMBEA KWA MUNGU AWAJALIE UNAFUU WA MAISHA.
 
asante mkuu, i hope you find your place in the story. there must be something you can tell about your mother, please share

Muhosni now umenipa moyo nami nimeweza kuandika kitu called 'Nimempoteza Gongolamboto' kinachomwakilisha mama Gongolamboto
 
Nyerere alitoa matibabu bure kwa watanzania miliono 25, alitoa elimu bure kwa wote waliotaka bila upendeleo, kulikuwa na ajira za kutosha kuanzia asie na elimu hadi mwenye elimu ya juu, wanaume waliokuwa wanawaonea wanawake walishitakiwa kwa mjumbe wa nyumba kumi au ofisi ya ccm. Nyerere alipigania uhuru wa Afrika kwa maslahi ya wanawake na watoto ambao walikuwa wanateseka zaidi.
Nyerere alikubali kuingia gharama kubwa kumtoa IDDI AMINI ambaye alivamia inchi yete na askari wake na kuwabaki wanawake wa Kitanzania. Mwanamke wa sasa ana dhiki kuliko wakati wa Nyerere. Kila kitu kipo lakini hawezi kununua. wakati wa Nyerere vitu vilikuwa vichache lakini alikuwa anauwezo wa kununua. Wanawake wa mijini wanahangaika mchana kutwa kupanga mbogamboga barabarani ili waweze kupata kipato cha kujikimu, wale wa vijijini ndiyo dhiki kabisa.
WANAWAKE PAMOJA NA MAMA YANGU ALIYEZAA WATOTO 12 NA KUWALEA BILA MFANYAKAZI WA NDANI NAWAOMBEA KWA MUNGU AWAJALIE UNAFUU WA MAISHA.

Asante mkuu, you have casted a long shadow back.
 
Nimekuwa wapi sijaona hii thread? thank you Muhosni....this makes us proud to be women..... and encourages us to keep loving and doing the best we can even when the circumstances are difficult.....!!! You made my day!!
 
Hebu tafakari kidogo jinsi mwanamke anavyopata shida zaidi kuliko mwanaume katika mazingira haya;

kwenye maeneo ya vita,
wakati wa njaa,
kwenye shida ya maji,
umeme unapokatika
mtoto akiugua,
kukiwepo ndugu mgonjwa home,
........
.........
........

Unachukua hatua gani kupunguza maumivu kwa mwanamke?
 
Nimekuwa wapi sijaona hii thread? thank you Muhosni....this makes us proud to be women..... and encourages us to keep loving and doing the best we can even when the circumstances are difficult.....!!! You made my day!!

Thanks Michelle,

my effort today was to try and make this day to discuss the courage and endurance of African women instead of simply celebrations. Wanawake wa mijini wana haki nyingi zaidi kuliko wa vijijini.

Ukweli ni kwamba wale kina mama wa vijijini ama hawajui kama kuna women's day au hawana hata muda na sababu ya kusherekea

nani anawakumbuka?
 
Thanks Michelle,

my effort today was to try and make this day to discuss the courage and endurance of African women instead of simply celebrations. Wanawake wa mijini wana haki nyingi zaidi kuliko wa vijijini.

Ukweli ni kwamba wale kina mama wa vijijini ama hawajui kama kuna women's day au hawana hata muda na sababu ya kusherekea

nani anawakumbuka?

You are so right, na huko vijijini ndo kwenye matatizo makubwa....!!thank you!
 
imenigusa mno, nimejizuia tu kulia kwani nikianza kumjumlisha mama yangu hapa, nobody will stop my tears from falling.
I LOVE YOU MAMA AND ALWAYS WILL.
 
imenigusa mno, nimejizuia tu kulia kwani nikianza kumjumlisha mama yangu hapa, nobody will stop my tears from falling.
I LOVE YOU MAMA AND ALWAYS WILL.

Mjumlishe tu rafiki yangu, hiyo ndiyo sababu ya hii thread bana. To remember those uncelebrated heroins. Hii ndiyo siku ya mama yako, let us hear you appreciate her
 
You are so right, na huko vijijini ndo kwenye matatizo makubwa....!!thank you!

Tumezoea kusikia sifa nyingi kwa wanawake wa mijini wanasiasa ambao walilipwa kufanya waliyofanya.
Rural women hawapati media coverage wala mtu wa kusikiliza hotuba zao wanazozitoa mioyoni mwao kila siku. Silently
 
Back
Top Bottom