Mtoto mkali alafu anauza dawa ya nguvu za kiume

Mtoto mkali alafu anauza dawa ya nguvu za kiume

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,296
Reaction score
3,398
Wajumbe heshima kwenu, let me declare my interest sio mtu wa kupenda totoz za mtandaon juzi kati kuna manzi moja nilikutana nayo mtandaon FB (old is good) ni wa moto sana yaani picha alizokuwa anapost huwezi ukamuangalia kwa nusu dk, lazima ale muda wako kidogo, baada ya kuzama na mwonekane wake ikabid nijisogeze inbox, manzi ikanielewa tukawa so close like bby i miss you nyingi tu, love you too za kumwaga, whattsap chat na video call kama kawa within a month, shida tulishndwa kukutana kwa wakati kwa sababu tupo mikoa tofauti
lakini tulikuwa mbioni.

Kwa muda kama wa siku mbili hv nikawa nimeenda bush sana killage cha ndani ndani , hvyo sikuwa na acces ya mtandao ile na rudi mtandaoni nakuta manzi kapost kwa page yake kuwa anauza dawa ya kuongeza nguvu za kiume na kunenepesha uume honestly sio kwamba niliduwaa tu bali pia nguvu ziliniishia na mpaka sasa hapa nilipo nguvu zimeniishia toka asubuh ananitext na kunipigia nashndwa hata kupokea na kujibu sms yake nina maswali meng ambayo sijayapatia majibu msaada wenu wajumbe
 
Hapo nikuomba akuuzie Dawa kisha mfanye majaribio kama Dawa inafanya kazi kweli
 
Sasa nguvu zimekuishia kwa7bu gani huyo dem si anafanya biashara zake wewe biashara zake na mapenzi yenu vinahusiana nini mpaka uishiwe nguvu au ndio nguvu za kiume hauna unaogopa kwenda nae ukajitia aibu huko chumbani😂
 
Hiyo ni biashara Kama biashara nyingine, Sema kichwani mwako Kuna fikra flani hivi ndio zinakufanya umfikilie tofauti..
Unaweza kukuta unawaza huwa akiuza dawa wateja wanamfanyia majaribio😂😂😂😂😂😂
 
kweli ni biashara ila nature ya ajiashara yenyewe ndo shda maana la lazima atakuwa anakutana na wateja wa kimapenz wa jinsia ya kiume hapo n
Daaa tatizo unawaza negativity sana... hebu kuwa positive bro..
 
Tatizo liko wapi sasa hapo !? Acha utoto
 
Back
Top Bottom