Mtoto mkali alafu anauza dawa ya nguvu za kiume

Mtoto mkali alafu anauza dawa ya nguvu za kiume

Mkuu naomba namba yake ' nahitaji aniuzie hizo dawa
 
kama nguvu zimekuisha fanya umuungishe hizo dawa uongezeeeeeeeeeeee😀😀😀
 
Hizo dawa vumbi la Kongo au Viagra 🤣🤣🤣 Sasa balozi manzi anauza madawa huyo si phamacist sio wakumuogopa uyo
Labda ungekuta anauza mazingira..
 
Nipe jina analotumia Facebook nimuungishe izo dawa nipo serious
 
Em nipe username yke na mie nikapoteze muda wng kum zooom
 
Mkuu wee hujiamini...

Hapo tayari umejiongezea tatizo la nguvu za kiume
 
Back
Top Bottom