figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Hivi mbona hamji? Hii thread hamuioni au tharau?
Waje haraka haraka na post ziwe fupi fupi. Nina haraka.. Na simu inaweza zima chaji kabla sijaona walichoandika.Usiwe na haraka mkuu.wanakuja
Mkeo ndo yupi? Japo nipigwe risasi nshamfaidi.. Au ni Katoto kadhuri ?Wewe jamaa na wake za watu utakula risasi za matako jidanganye na limwili lako hilo.
Hahahaaa... Kwani inakuuma mkuu?Aise...
That’s what I call all of you against all of me..
Wakina nani?
Mmh! Kafungua Dar? Kuna kipindi tulionana akaniombea. Nlibarikiwa sana.Lady ladyfurahia kafungua kanisa lake la KINABII, linaitwa Ngemela
Lady ladyfurahia kafungua kanisa lake la KINABII, linaitwa Ngemela
Hahahaa..Hivi kumbe single father. Unaonaje ukipata single maza muyajenge maisha. Au nawe unawaponda[emoji1]
Mke wake anaitwa nani? Taja japo sifa tujue mfupi, mrefu mwembamba au ana mwanya?Hakuna. Wakili Ngemela ninamjua mkewe
@Katoto kazuri ndiyo mdudu gani..?Mkeo ndo yupi? Japo nipigwe risasi nshamfaidi.. Au ni Katoto kadhuri ?