figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wake anaitwa nani? Taja japo sifa tujue mfupi, mrefu mwembamba au ana mwanya?
Ni mtoto fulani Amizing. Kapanda juu sekunde. Nashangaa unahangaika na wanawake makaliko wakati vifaa unaviacha huku.@Katoto kazuri ndiyo mdudu gani..?
Wewe mwenyewe unatumia ID fake lakini jina lake unalijua. Ila jamaa kwanini unanibania jina? Kwanza huyo mwanasheria anatumia jina la ukoo. Ukoo mkubwa huo.Ninaomba niishie hapo. Wewe mwenyewe unatumia ID fake halafu utaka jina halisi la mtu ili iweje!
Una kithembe mkuu?Mkeo ndo yupi? Japo nipigwe risasi nshamfaidi.. Au ni Katoto kadhuri ?
Wewe mwenyewe unatumia ID fake lakini jina lake unalijua. Ila jamaa kwanini unanibania jina? Kwanza huyo mwanasheria anatumia jina la ukoo. Ukoo mkubwa huo.
Ndio mkuu, huu ulimi utaniletea balaa, umeanza kuniletea kithembe utafikiri mi MpareUna kithembe mkuu?
Una utani na wapare?😂😂😂Ndio mkuu, huu ulimi utaniletea balaa, umeanza kuniletea kithembe utafikiri mi Mpare
Kuna siku nlikuona Morogoro nikakausha. Una mashamba huko?Una kithembe mkuu?
Eeeh hata sijawahi kufika morogoroKuna siku nlikuona Morogoro nikakausha. Una mashamba huko?
Macho yangu huwa hayanlet down. Ni weweEeeh hata sijawahi kufika morogoro
Nasikia Wapale wanasema thithi ndo Mama dhao... Sijui na nini huko mbele.. Hasa wa kuke VudeeUna utani na wapare?😂😂😂
SawaSawa
Hahahaa..
Single mother nasikia muziki wao sio wa dunia hii. Walivyo wakali, utatamani dunia iaimame ushuke.
Vipi, wewe ni single mama? Nambie nijitutumue
Ooh my lord teach me to be QuiteHivi kumbe single father. Unaonaje ukipata single maza muyajenge maisha. Au nawe unawaponda[emoji1]
Basi yame kulet down this time😊Macho yangu huwa hayanlet down. Ni wewe
Kumbe ndo maana jamaa anawaka.. Hahahahaaa...!!
Hapana haiwezi niuma kwa watu nisio wafahamu sana nitaona wivuHahahaaa... Kwani inakuuma mkuu?
wapi Lady furahia... namtafuta sana simu zake zote ameniblock...😭😭Hivi mbona hamji? Hii thread hamuioni au tharau?
Smart911 umenionea wapi Lady furahia... naomba mwambie rafiki yake mahondaw anisaidie kunitafutia ladyfurahia kokote huko alipo...