mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,322
- 1,110
single maza ni wazuri wa kupasha viporo hapana sikushauri figganigga tafuta mtoto mzuri kama Khantwe uanze naye moja...Hivi kumbe single father. Unaonaje ukipata single maza muyajenge maisha. Au nawe unawaponda[emoji1]
Aiseeesingle maza ni wazuri wa kupasha viporo hapana sikushauri figganigga tafuta mtoto mzuri kama Khantwe uanze naye moja...
figganigga mtoto mzuri Khantwe huyu hapa achana na singo maza watakupasua kichwa na viporo kwa baba watoto zao...😁Aiseee
amekusikia anakujaa...Kuna dada fulani anaitwa cariha niitieni. Natamani nitangaze nia
Mimi mbona singo maza piafigganigga mtoto mzuri Khantwe huyu hapa achana na singo maza watakupasua kichwa na viporo kwa baba watoto zao...[emoji16]
hahahaha kumbe mulemule hapana unadanganya bana sio kweli😄Mimi mbona singo maza pia
yna2 ukinonea ladyfurahia kokote kule naomba mwambie anitolee hizo block alizoniwekea..Kazi kweli kweli.
Ni kweli sidanganyihahahaha kumbe mulemule hapana unadanganya bana sio kweli[emoji1]
hahaha wapi figganiggaNi kweli sidanganyi
Wakuu,
Chachu Ombara alikuwa ananiulizia kama online namuona Madame B . Mara sijakaa sawa nikapokea Ujumbe wa mathematics akimuulizia ladyfurahia. Kwamba amemiss mambo na kelele nyingi.
Nikasema ngoja nitumie nafasi kutafuta mke. Nipendeni jamani, mi single father.
Ila usiku wa jana ilikuwa aibu, jana nimedhalilika mimi.
Naomba kupendwa jamani wakina nanii.. Njooni
Mia
Mkuu, mbona umeadimika sana? Kwema huko?Nimewapiga marufuku wasikufate wala kukusalimia inbobo
pujo come pande hii unaitwa huku...Write your reply...ila mtoto pujo namuelewa sana tu apite tu hapa aone komenti yangu
Mkuu, mbona umeadimika sana? Kwema huko?
Kwahiyo unanambiaje?Basi yame kulet down this time😊
Kalegeza kamba nasikia.. Mcheck tenawapi Lady furahia... namtafuta sana simu zake zote ameniblock...😭😭
Mwambie anatafutwa sana..Njoo yuko hapa Benn Pub ,tunapiga nae supu
Sisi wapare tukiamua tutakubadilikia mkuu figganigga [emoji23][emoji23]Ndio mkuu, huu ulimi utaniletea balaa, umeanza kuniletea kithembe utafikiri mi Mpare