Mtoto mzuri Alicios Theluji yuko wapi siku hizi?

Mtoto mzuri Alicios Theluji yuko wapi siku hizi?

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
5,175
Reaction score
16,488
Binafsi nikiwa mdogo siku zile nilikuwa namsikia mama akiimba sana nyimbo za huyu Binti Alicios. Mama yangu alipenda sana kuimba hasa nyimbo mbili za huyo Binti, ule uitwao Mpita njia, alioshirikiana na Mwanamama Juliana Kanyomozi na ule wa Posa ya Bolingo!

Huo ndio ulikuwa mwanzo wa mimi kumpenda Alicios, mpaka leo bado nampenda sana Alicios,
nikisikia sauti yake ni kama namuona mama yangu.

Sasa hapa nauliza ili nitambue mtoto mzuri Alicios yuko wapi na anafanya nini siku hizi?

Je, ameshaolewa au bado na ana watoto? Pia maisha yake yamekaa mkao gani, maana mara ya mwisho kumuona alikuwa so natural, anatia sana hamasa huyu dada.

271F4386-AED7-4E8C-9D1B-4F72DFF3A10D.jpeg
91867BFB-F638-4083-91BD-A443F3E0CBC0.jpeg
 
Huyo alicius mpumbavu kweli


Mwaka juzi alikuju tz kufanya shooting ya wimbo wake, akaulizwa kwann amechagua tz...... Akasema eti tz ndio nchi yenye maeneo ya uswazi mengi... Ambapo video yake inahitaji maeneo y uswazi.....


Kwann aisi shoot huko kenya hasa kibela
 
Nina miaka kama yote mkuu [emoji41]
Sasa kama 2011 ulikuwa hautambui wimbo mpaka unamsikia mama anaimba ... Maana take ulikuwa na umri mdogo sana kutambua vitu... Hongera umekuwa
 
Back
Top Bottom