Mtoto mzuri Alicios Theluji yuko wapi siku hizi?

Mtoto mzuri Alicios Theluji yuko wapi siku hizi?

dah!!!dogo kama mama ako alikua anakuimbia hizi nyimbo, yafaa kusalimia watu humu cse we nizaidi ya kinda
 
Sasa kama 2011 ulikuwa hautambui wimbo mpaka unamsikia mama anaimba ... Maana take ulikuwa na umri mdogo sana kutambua vitu... Hongera umekuwa
Nilikuwa nina miaka saba ndugu
 
kwanini unajiaminisha hvyo mkuu?khaa...mie slim...kuna uarabu ndani yangu (flat)😎

Uzuri na mimi ni team slim! Na kama kuna Uarabu ndani yake, means utakua umenenepa yale maeneo muhimu tu! Waniwie tu radhi wale wenye vitambi, matumbo matatu na migongo mikubwa iliyopitiliza, namba tisa na wale slim namba moja! Hawa huwa siwashabikii kabisa.
 
Uzuri na mimi ni team slim! Na kama kuna Uarabu ndani yake, means utakua umenenepa yale maeneo muhimu tu! Waniwie tu radhi wale wenye vitambi, matumbo matatu na migongo mikubwa iliyopitiliza, namba tisa na wale slim namba moja! Hawa huwa siwashabikii kabisa.


😂😂😂😂😂 naona unanijua..mimi nipo kwenye grup ya vitambi matumbo ma3😂😂 na migongo km faru😂
 
Back
Top Bottom