Mtoto ni baraka/laana

Mtoto ni baraka/laana

Unforgettable

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
5,584
Reaction score
12,461
MTOTO NI LAANA AU BARAKA UAMUZI NI WAKO!

Kuna mwanaume ukibeba mimba yake anaamini kuwa kahakuharibu, kwamba huwezi kupata mwanaume mwingine wakukuoa hivyo hata akufanyie vituko namna gani utavumilia. Anaanza kukuona kama takataka na si Mama.

Anakuona kama vile mjinga huwezi kuishi bila yeye, anasahaa kitu kimoja, mtoto ni Baraka, uamuzi ni wako, kumtumia kama Baraka au kumtumia kama laana. Kama ukimuona mwanao kama Baraka basi wewe mwanamke ndiyo utakua umezipata na mwanaume aliyekutelekeza ndiyo ataondokewa na Baraka.

Hivyo hivyo, kama ukimuona mtoto wako kama laana basi utabaki na laana yako na mwanaume aliyekutelekeza ndiyo ataondokewa na hiyo laana. Niamini nikikuambia, hakuna kitu kitamtesa Baba wa mtoto wako kama akuache halafu uwe bize na maisha yako mpaka kufanikiwa.

Atateseka kiasi kwamba hata huyo mwanamke mwingine ambaye atakua naye itakua ni ngumu kuwa na furaha. Kila siku atamtaja X wake, kila kitu itakua ni ugomvi kwakua tu wewe umeamua kuondoka na Baraka zake na si laana yake. Sasa uamuzi ni wako, mwanao kuwa Baraka au kuwa laana.
 

Attachments

  • FB_IMG_1716906777525.jpg
    FB_IMG_1716906777525.jpg
    84.1 KB · Views: 7
MTOTO NI LAANA AU BARAKA UAMUZI NI WAKO!

Kuna mwanaume ukibeba mimba yake anaamini kuwa kahakuharibu, kwamba huwezi kupata mwanaume mwingine wakukuoa hivyo hata akufanyie vituko namna gani utavumilia. Anaanza kukuona kama takataka na si Mama.

Anakuona kama vile mjinga huwezi kuishi bila yeye, anasahaa kitu kimoja, mtoto ni Baraka, uamuzi ni wako, kumtumia kama Baraka au kumtumia kama laana. Kama ukimuona mwanao kama Baraka basi wewe mwanamke ndiyo utakua umezipata na mwanaume aliyekutelekeza ndiyo ataondokewa na Baraka.

Hivyo hivyo, kama ukimuona mtoto wako kama laana basi utabaki na laana yako na mwanaume aliyekutelekeza ndiyo ataondokewa na hiyo laana. Niamini nikikuambia, hakuna kitu kitamtesa Baba wa mtoto wako kama akuache halafu uwe bize na maisha yako mpaka kufanikiwa.

Atateseka kiasi kwamba hata huyo mwanamke mwingine ambaye atakua naye itakua ni ngumu kuwa na furaha. Kila siku atamtaja X wake, kila kitu itakua ni ugomvi kwakua tu wewe umeamua kuondoka na Baraka zake na si laana yake. Sasa uamuzi ni wako, mwanao kuwa Baraka au kuwa laana.


1. Usizae bila ndoa.
2. Chukua mda kutafuta mtu sahihi.
3. Mwombe Mungu,

Dunia is ups and down, tupambane.
 
Bora mama anayekuwa incubator kuliko mmama unamzalisha vizuri mnakuwa na kafamilia kenu Ila badae anakutafutia sababu ,unanyanganywa watoto kwa sheria za vichochoroni na mabavu ya nduguze ,mwisho baba wa watoto unakuwa sio baba tena hauthaminiki Wala hauheshimiki na watoto .

Hatupendi kunywa pombe Ila kichwa kina mengi ambayo tungetamani kusema Ila ndiyo vile jamii haiwezi kutuelewa .
Wanawake Mungu anawapenda lakini anawaona pia .
 
Zipo sababu ambazo zinaweza kumfanya mwanaume akatelekeza mtoto kama
=umalaya wa mwanamke
Kias inafikia MWANAUME kutokuwa na uhakika kama kweli mtoto ni wake.,

=Jeuri, majivuno, zarau kutoka Kwa mwanamke hasa mwenye kipato, kiasi kwamba huona MWANAUME Hana umuhimu kwenye malezi ya mtoto n.k.
 
Back
Top Bottom