Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Bado sijazipata ndio nasubiri hapa taarifa za ndani. Nikizipata nitazitangaza hapa nimeshanunua Kreti yangu ya bia nasubiri taarifaMkuu nipe update kama unazo za ndaaaaaani, mwendo ameumaliza?
Una umri gani?DAB maana yake nini na kwanini wanamuita hivyo ?!
Unammanisha nini? CCM hawapendi kuombeana kifo?Mimi sio CCM ila sipendi tabia ya kuombeana kifo.kwa sababu hakuna aliyemsafi kwa hiyo tukiombea kufa kwa sababu ya maovu hakuna atakayebaki.Alafu ukiona kwenye nchi watu wanaombea kifo hiyo nchi ni mfu.
Umenunua kreti kabisaBado sijazipata ndio nasubiri hapa taarifa za ndani. Nikizipata nitazitangaza hapa nimeshanunua Kreti yangu ya bia nasubiri taarifa
Ila kibongo bongo huyu jamaa ni kiongozi safi sana sana, ni mkosaji sawa ila anamaamuzi tunahitaj viongozi wa nama hii ilk nchi iweze kusongaMtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
WeeeeUmenunua kreti kabisa
Angalia isije kuwa dua
La kuku hilo
Ova
DAB yupo wapi mkuu,umenishawishi kupitia comment hiiKumbe hapa watu wanajilisha upepo tuu, mwenzenu Bashite anakula zake raha! Hatishwi na maneno yenu! Hatishwi na sumu na hatishwi na yeyote! Wala hatishwi na kuteuliwa au kutenguliwa!
Huyo ndio Bashite Toto la Koromije
Hivi matusi yanawafaidisha nini? Si mjadiliane kwa staha?
Kajaliwa kalio kanyimwa akili.
Kwani anaumwa? Una uhakika?Tumuombee!
ahaa,maza kawatimua walitaka kumuulia mtoto wake!Nimeona huko twitter nimeogopa kweli kweli, Inasemekana ndiyo chanzo cha pangua pangua kwa madai ya huko twitter!.
Kibuyu bd hakijapasuka😂😂Bado tu huko ?