It is a gift. Harness it and use it for the benefit and glory of the giver. There will be a tomorrow for you. If you surrender it to the Giver it can save many
 
Sumu inaweza ikaanza kufanya kazi hata baada ya wiki au ikikiwa exposed kwenye mazingira fulani, ila kwa Bashite hakuma sumu ni uzushi tu unatengenezwa na watu wa system wenyewe, maana lengo lao ni kuzidi kumjenga Bashite
 
Yahani mtu alishwe taarifa za Mkurugenzi wa TISS kuondolewa na nani atateuliwa kama maandalizi ya issue ya Makonda kujipoteza na kupatikana ili aongeze umaarufu?.

Mfuatilie sana Britanicca utaona jamaa kupigwa sumu bado anapambana.
 
Hopeless kabisa wewe! Au na wewe umeshiriki kumuwekea sumu? Maana sioni chadema imeingiaje hapa.

Hopeless!
 
Chadema inahusika vipi na udhalimu wenu wa kulishana sumu huko CCM? Mtamalizana sana hadi kufikia 2025.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…